tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,670
- 19,183
Mbona kma ni mbaba hiyo sura sio ya kike
Hiv n mbunge wawap huyu mama
Hiv n mbunge wawap huyu mama
Huyu dada ana sura nzito
Acha awe mbunge tu akalie kiti pale mjengoni. Yule aliyepo ana roho mbaya kama ya shetani. Simpendi kabisa!Labda aende akachukue jimbo linalomilikiwa na S.H.Amon kwa sasa, pale Tukuyu. Vinginevyo atatafuta vita na Sugu pale Mbeya mjini.
Halafu job ataenda wapMbona wengi walishajua kwamba anaandaliwa kugombea jimbo huko Mbeya.. Na imeenda mbele zaidi kwamba anaandaliwa kuwa spika wa bunge lijalo 2020-2025..
Nimekaa najiuliza. Hivi ikitokea uchaguzi ujao akapewa mtu mwingine kitu cha Uspika, halafu huyu wa sasa akarudi kama Mbunge wa kawaida, hivi atajisikiaje ?Acha awe mbunge tu akalie kiti pale mjengoni. Yule aliyepo ana roho mbaya kama ya shetani. Simpendi kabisa!
KaufyataPolepole katika hili anasemaje?Au ule mkwara wake uko biased?
Mbona wengi walishajua kwamba anaandaliwa kugombea jimbo huko Mbeya.. Na imeenda mbele zaidi kwamba anaandaliwa kuwa spika wa bunge lijalo 2020-2025..
Halafu job ataenda wap
TENA ANAFAA SANA AGOMBEE URAIS 2020.Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
Mbeya sio wajingaAmeyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
Wabunge watukutu mnamsumbua masikini dada wa watu 'kaanza kupiga bati' kichwani.
Naunga mkono hojaMimi ni mwanamke lakini huyu daaah dume sio dume bora hata alivyoondoa yale madread angalao lakini bado no aisee
Beautiful?? Tulia??? Haha haa kweli beauty lies in the eyes of beer_holder.Beutifull with Brain Tulia Mimi Ntakupa kura yangu ukigombea ata niwe wapi ntarudi Nyumbani Mbeya Kukupigia Kura
Kwamba ukitaka kujua muundo wa papuchi basi angalia lips? Basi sawa wakuu.
Umeona eeeeNaunga mkono hojaView attachment 1186457
DuuuuuhKama uji wa mtama yani huwezi kujua kma wa kike au wa kiume