Uchaguzi 2020 Tulia Ackson: 2020 nitagombea

akatafute jimbo mitaa ya dodoma dodoma ama tabora tabora huko kwa mbeya watu wanajitambua itakuwa aibu.
Analitambua hilo ndio maana kasema anaweza kugombea popote..

Kama kweli ana nia ya kurudi Mjengoni kupitia jimbo, atafute jimbo lingine, sio mbeya mjini
 
ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki
Kwenye urais unasemaje?
 
Mimi namshauri mbeya mjini asiende, wale wasafa hawatabiriki. Bora apambane majimbo ya dsm
 
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.

"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson

View attachment 1185297
Sura tuuu inatosha kuelezea roho yako
 
ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki
Umenena vyema, ni haki yake kama ilivyo haki ya Membe na wengine ndani ya VCM na vyama vingine kugombea Kila baada ya miaka 5
 
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.

"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson

View attachment 1185297
Sawa Pinda tumekusikia ila usigombee Mbeya Mjini,mbembeleze Anko wako Agawe Jimbo lolote upewe,kwa yaliyopo hauwezi kushinda hata moja na hakuna wa kumshinda ndani ya CCM kwenye kura za maoni......
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom