unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,506
- 2,862
ASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
Nilitegemea wanademokrasia mtasema. Hakuna Shida ni Haki yake kama Raia wa Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
Sugu anaodolewa bila ya wasiwasi, tena asubuhi na mapema.ASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
vijana tuko sambamba nawe kwa hili
Analitambua hilo ndio maana kasema anaweza kugombea popote..akatafute jimbo mitaa ya dodoma dodoma ama tabora tabora huko kwa mbeya watu wanajitambua itakuwa aibu.
Kwenye urais unasemaje?ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki
Wanambeya wakiamua sio tatizo, tunachopinga kutumia vyombo vya dola kumwondoa sio sawaSugu anaodolewa bila ya wasiwasi, tena asubuhi na mapema.
Haahaa watu wanaanza kujimilikisha ugombeaKwenye urais unasemaje?
Sura tuuu inatosha kuelezea roho yakoAmeyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
mzee haya majibu umejifunzia wapiASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
Tamka vyako vya kichuuziVitiSho vya kipuuzi sana hivi kutamkwa
Umenena vyema, ni haki yake kama ilivyo haki ya Membe na wengine ndani ya VCM na vyama vingine kugombea Kila baada ya miaka 5ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki
mzee haya majibu umejifunzia wapi
Sawa Pinda tumekusikia ila usigombee Mbeya Mjini,mbembeleze Anko wako Agawe Jimbo lolote upewe,kwa yaliyopo hauwezi kushinda hata moja na hakuna wa kumshinda ndani ya CCM kwenye kura za maoni......Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
Mbona sasa mnamzingua mzee Membe kwa kutaka kugombea uraisi 2020hamna