Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,272
Haya sasa. Nani mkali?
Nairobi Makuti.... hahahahaa nice one.
Huyu mtu wa kuitwa emile lemingongo jamaa yupo vizuri msikilize vizuri penye jojo ngonda anavyo lala mika
Yo lingi ngana lela
Maloko mimi
Tabu fatu nisembu
Lisibaba naleliyo kam swahili
Juu ya mapendo lavis na cchiluba
Kulwa Kulwa shekyala na lingala
Nakolela labifu mozonga
Okwaa mimi mamaa
kisha anaingia blaise bula na kufanya yake hakika ule mchanyato sijui kama utakuja kutokea tena