Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,448
- 4,475
Nnachoweza kusema ni hiki hapa
Kwenye kona kona walikua wapo bampa tu bampa ila nilivokaa mainroad miguu ikakamata vumbi waliisoma aiseee
Nahisi niligusa 85kph ile siku kwa miguu maana kwenye kichwa kwa mbaali king'ora kilikua kinalia
Sent from my SM-G901F using JamiiForums mobile app
Kwenye kona kona walikua wapo bampa tu bampa ila nilivokaa mainroad miguu ikakamata vumbi waliisoma aiseee
Nahisi niligusa 85kph ile siku kwa miguu maana kwenye kichwa kwa mbaali king'ora kilikua kinalia
Sent from my SM-G901F using JamiiForums mobile app