Waambie tu halafu fupe mrejesho please.Tupo nao kwenye whatsap group la primary hahahaaa ngoja siku ntawaambia japo nnauhakika hawatoamini kweli ni mimi
ha ha ha, dahh!!Nipo form si kipindi hiko, nikaenda hospitali kumsalimia classmate (wakike) alikuwa amelazwa hospitali ya mission karibu na shule. Wakati nipo kitandani Dr akaingia na kutufukuza, sikumbuki nilimjibu nini. Kesho jumatatu kengele ya dhalula inagongwa mida ya saa tano wote tukaenda assembling ground. Mara naitwa jina toka mbele na mwalimu mkuu akiwa na discipline master na yule Dr. Akasema ndio huyu aliyekuwa anakula mate na mgonjwa.
Aisee nilichezea bakora hapo, Mimi ndio nikawa mfano wa watu wanaotafutwa wenye mademu shuleni (maskini ya Mungu hata hakuwa demu wangu). Nikaulizwa nichapwe bakora 20 au nipewe suspension? Nikawaza ukali wa mzee, nikakubari bakora. Nilichapwa zaidi ya bakora 20
Yule demu alipokuja kusikia baada ya kupona alimvaa Dr alafu akaenda kusema kwa mwalimu mkuu, kumbe alikuwa anamtaka kitambo tu anamchomolea. Lilikuwa gumzo, Ila wakayamaliza kiutu uzima huku mimi, nilishaumia.
Baadae yule demu akaja kuwa demu wangu kiukweli sasa tukiwa vyuo tofauti. Tulikuwa tukikumbushiana hiyo stori anacheka na kusema sasa tunafanya kweli au walitutabiria
Now ni friends wa kawaida ameolewa na watoto wawili, we are happy
Mmhhh!!!! Hatari sanaSiku hiyo nilichelewa kurudi nyumbn mida Kam ya tano iv ucku hapo kijijini kulikua na bonge la mti ambao ulikua ktk njia ambayo ni maarufu Sana ila pale wazee wetu walikua wakitukataza Sana kupita hiyo njia ila sababu walikua hasemi ila ni msisitizo Sana hasa nyakati za ucku
Bas bwana siku hiyo nmetoka zangu kwa washkaji kupiga stori kutokan na mda ilishaenda Sana nkaona kuzunguka ni mbali na huku tilishakatazwa kupita ucku hasa ukiwa alone
Nkaona poa mi mwanaume bhana potelea mbali liwalo na liwe nkavua yebo zang nakuzishka mkononi safari ikaanza mwendo Kam wa mchaka mchaka baada ya km nusu km ivi nakaribia jirani na ule mti mara gafla naona macho makali yanang'aa Sana mbali kdg na ule mti nkajikaza na kupita kwa mbali maana nakarbia home siwezi kurudi nlipotoka
Ile namalizia tuu kuyapita gafla hamadi dude hili apa nyuma nilikimbia skuwahi kukimbia vile bahati nafika tuu omu namkuta mdogo wangu anafunga mlango huku Niko speed 260 ile naingia tuu dogo kabamiza mlango pigwa Sana mikucha pale mlangoni tokea siku hiyo saa 12 jiion npo ndani
Mpaka leo sikuwahi na wala hatukuwahi kujua alikua ni mnyama gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu tunaomba ajiraMimi nilifichiwa chakula na shangazi yangu. Mwaka jana mtoto wa huyo shangazi ALINIOMBA NIMSAIDIE KUMPELEKA MAREKANI KUSOMA. Kweli usitende ubaya kwa mtu sababu ya kesho hauyajui. Full story hapa chini....
Nilikuwa nasoma Ilboru, mjomba (mdogo wake mama) na mke wake (shangazi) alihamishiwa kikazi arusha tokea dar, wakawa wanaishi sanawari. Nilifurahi kupata ndg wa karibu arusha, tena sanawari na ilboru secondary ni karibu mno. Mama mzazi ndio alimsomesha huyo mjomba sekondari hadi chuo. Basi nikadhani nao watanijali. Uncle alikuwa mtu wa safari sana za kikazi, kwa hio mara nyingi mkewe ndio alikuwa home arusha.
Mara mbili au tatu kwa mwezi (siku za jumapili) nikawa naenda kuwasalimia. Mara za kwanza mambo yakawa sawa tu. Huwa wanakula vizuri sana, kwa hio nilikuwa nabadili diet vizuri sana.
Baada ya miezi miwili hivi kuisha tokea wahamie arusha, mambo yakawa sio mambo. Nikienda kuwasalimia, huwa naenda mida ya saa nne, nakula lunch, halafu naondoka saa kumi hivi. Ikawa sasa naenda hadi naondoka hakuna msosi.
Hiyo ya kwenda na bila kupata msosi ilitokea kama mara tatu hivi. Mara ya nne sasa.. kitu hicho hicho.. nikakaa, hakuna kitu, njaa kweli yani hadi akili hafikirii vizuri kiasi cha mimi kusahau MADAFTARI YANGU hapo kwa uncle sababu nilikuwa naenda nayo kujisomea.
Basi kufika njiani nikakumbuka nimeyasahau hayo madaftari, nikarudi kwa uncle kuyachukua. Nikakuta WAMEJAZA MEZA CHAKULA WANAKULA. Hapo hata dakika 20 tokea niondoke hazikuisha. Manake chakula kilishapikwa zamani na walikificha.
Ilini-pain sana, lakini hio ni moja ya mambo yaliyonipa uchungu na maisha. Niliandika barua mbaya sana kwa uncle kumshitaki, ila ndg wakasema nimekosea heshima. Ndg nao wakamsapoti aunt.
Leo hii katika familia YOTE UNCLES NA AUNT, mimi ndio fogo kupita wote. Nimejenga sana, magari kibao, na pia nina projects zangu USA ambako nilikuja baada tu ya kumaliza form IV na ndio palinisaidia ku-win life. Na ndio hao walionitendea ukatili kama huo leo wananinyenyekea ili niwasaidie.
Unapasha kimasihara.Nipo form si kipindi hiko, nikaenda hospitali kumsalimia classmate (wakike) alikuwa amelazwa hospitali ya mission karibu na shule. Wakati nipo kitandani Dr akaingia na kutufukuza, sikumbuki nilimjibu nini. Kesho jumatatu kengele ya dhalula inagongwa mida ya saa tano wote tukaenda assembling ground. Mara naitwa jina toka mbele na mwalimu mkuu akiwa na discipline master na yule Dr. Akasema ndio huyu aliyekuwa anakula mate na mgonjwa.
Aisee nilichezea bakora hapo, Mimi ndio nikawa mfano wa watu wanaotafutwa wenye mademu shuleni (maskini ya Mungu hata hakuwa demu wangu). Nikaulizwa nichapwe bakora 20 au nipewe suspension? Nikawaza ukali wa mzee, nikakubari bakora. Nilichapwa zaidi ya bakora 20
Yule demu alipokuja kusikia baada ya kupona alimvaa Dr alafu akaenda kusema kwa mwalimu mkuu, kumbe alikuwa anamtaka kitambo tu anamchomolea. Lilikuwa gumzo, Ila wakayamaliza kiutu uzima huku mimi, nilishaumia.
Baadae yule demu akaja kuwa demu wangu kiukweli sasa tukiwa vyuo tofauti. Tulikuwa tukikumbushiana hiyo stori anacheka na kusema sasa tunafanya kweli au walitutabiria
Now ni friends wa kawaida ameolewa na watoto wawili, we are happy
....Unasamehewa kwa sababu tu ilikuwa bado mdogo!Yeah wapo pamoja mpaka kesho, kaka anajua kila kitu ila ndio hivyo tena tangu kipindi hiko hakuna aliewahi kumkumbushia mwenzie chochote kuhusiana na hayo maisha zaidi ya salam tena salam ni kaka ndio alianza, mimi niliondokaga kwa hasira nikawa sitaki hata kuwasikia ila mwisho wa siku niliona haina haja sote mavumbini tutarejea nikasamehe lakini wifi sijawahi onana naye na Mungu alivyo wa ajabu kila wakija home mimi sipo au mimi nikienda wasalimia kwao siwakuti sijuagi why inakua hivyo ni muda mrefu mnoo umepita na salam zenyewe ni kupitia mitandao ya kijamii
Hahaha tunaheshimiana now.Unapasha kimasihara.