La Quica
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 916
- 2,040
Jasiri haachi asili. Bado naiba iba mademu za watu.Mzee umeacha wizi?
Jasiri haachi asili. Bado naiba iba mademu za watu.Mzee umeacha wizi?
Hahaha nimeacha mkuuyaani ulivyosema umiibaa saa nakajua ingekupiga alam afu ukamatwe vizur.vipi umeacha wizi sasa hivi
Yule mzee alifariki zamani kipindi bado nipo nyoka mdogo.Aiseee... Umewahi fikiria kununua saa nyingine kwenda mpatia yule mzee kama sahamani.
Mpaka Leo roho mbaya ya choyo anayo?nishapoa, na had leo ndugu wa kaka hakuna anaekwenda akaweka makazi ni kupita tu njia
kwanin hukuificha ila ukaitupa....But scenario yako ni kama yangu sema mimi nilmwibia hela ba mdgo nikaenda ifukia shambani....Asee aliitafta ile hela, tukasachiwa watoto wote...Mimi nikawa namchora tuuNakumbuka niliwahi kuiba saa ya dingi wa chaliangu home kwao sasa mda si mda mzee anaitafuta saa haioni kila anaeulizwa anasema hajui hapo saa ninayo mfukoni.
Nikajua kitachofuata ni kusachiwa ikabidi nizuge naenda chooni kufika nikaitupa saa chooni nikarudi ndani basi jamaa yangu na wadogo zake walikula stiki sana ile siku nafsi ilinisuta sana ni miaka mingi imepita ila nikikumbuka huwa inanifedhehesha sana. Mambo ya utoto.
Aise hata kamaapendaye haoni, huo ujasiri angeupata wapi?? hatujui anapewa nn na mkewe mpaka ikafikia hapo hatujayaingilia
Sasa utawafanya nini unadhani ni kumuachia Mungu na maisha yaendeleeAise hata kama
Kwa kweli sijui kama hajaacha choyo, kaka yeye atajua mwenyewe na maisha yake na mkewe, mimi tangu nilipoondoka kuna ndugu yangu mwengine alifika hapo kwa nia na madhumuni asome chuo alinitafta na kunambia pia pamemshinda na akaondokaMpaka Leo roho mbaya ya choyo anayo?
Hajabadilika tu?
Na kaka enu anamtendeaje
Kwani nyeto ni ukatili?
Kuna tatizo?Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Tupo nao kwenye whatsap group la primary hahahaaa ngoja siku ntawaambia japo nnauhakika hawatoamini kweli ni mimiWatafute jamaa uwaambie. Na uwaombe msamaha....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
So mmemtenga ndungu yenu apambane na hali yakeasantee
Ndo wale wasiopenda ndugu wa mumekwa kweli sjui kama hajaacha choyo, kaka yeye atajua mwenyewe na maisha yake na mkewe, mimi tangu nilipoondoka kuna ndugu yangu mwengine alifika hapo kwa nia na madhumuni asome chuo alinitafta na kunambia pia pamemshinda na akaondoka