Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,224
- 3,147
Jamani mabinamu mlioliwa kimasihara wahini uku maana sio kwa kuliwa huku kunakohadithiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii movie nahifahamu.Huu uzi unaelekea kama ule wa tunda kimasihara.. acha nisubscribe kabisa niwashe na notification..
Mimi ilikua kidogo nimtafune binamu yangu... nilimvua nguo zote ile nataka kuweka mashine akasema yuko siku zake.. ikabidi nitoke nduki kwenda kununua ndom ilikua usiku kama saa 4 hivi.. nilitafuta maduka yote yamefungwa.. ile siku nilitembea km kama 10 kutafuta ndom tu na nikakosa.. nilirudi usiku sana nikakuta alisharudi room kwake.. kuanzia hapo alikua ananitega hata tukiwa dining room tunakula yeye anapitisha miguu chini ya meza ananipapasa..
Sasa nadhani aunt alishtukia mchezo akaanza kukaba hadi penati.. yaaani alikua anahakikisha mimi na binamu hatubaki peke yetu.. akitaka kuondoka lazima amtume sehemu au aende nae..
Hadi likizo ilkaisha nikarudi zangu shule.. sikurudi tena kwa uncle hadi namaliza form six .ile narudi nakuta binamu kaolewa mbalii.. mpaka leo hatujaonana imepita miaka mingi.
H ha ha ha ha wala siuongo zinatolewa sana na ma kakaKuna mdau humu aliandika uzi akiuliza nani anayewatoa bikra wanawake, kwa huu uzi nimeanza kupata mwanga. Kumbe bikra zinatolewa na ndugu?? Duuh.
Teh teh teh..... Kwamba tatizo sio yeye ni coronaCorona inafunua ukichaa
Binamu yangu mpaka leo bado namla ingawa ameshaolewa na mimi nilishaoa ila kupasha kiporo ipo.
Nilianza naye kitambo sana tangu 2006..
Heshima kwa wenzi wetu wa ndoa ipo vizuri kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu be specific unamaanisha nini hapa ?Pasheni tu viporo, vingine viporo vya biriani ukila kuharisha lazima.
Halafu Hawa ndo wake tutakaokuja kuwaoa.
Sijui nisioe mazima!!!!!!!
90% ya watakaokiri hapa watakuwa wachagga na wapare wapenda p o m b e
😂😂😂😂Watu wana roho ngumuHua mnawapata vipi.?
😂😂😂Mimi huwa nasema, mke asiye na bikra ukimuoa jua umeoa mke wa mtuHalafu Hawa ndo wake tutakaokuja kuwaoa.
Sijui nisioe mazima!!!!!!!