Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,077
- 1,779
Tulia hivyohivyo 😂Inafikirisha kumbe haya mambo yapo. Last year nilienda kijijin kwa wakwe zangu ambapo mume alikua anaspend sana likizo zake enzi za shule.
Nilikuta mawifi kibao (watoto wa baba wakubwa) ila mmoja ndo alinitambulisha wa kwanza na kumsifia sana basi ikapita.
Kesho yake yule wifi akanikuta namuogesha mwanangu akamwangalia akasema mwanao anafanana hadi umbo na baba ake. ( Hapo anamwangalia mwilini). Nikacheka sikufikiria kitu.
Sasa baada ya muda ndo nmekaa akili imetulia najiuliza huyu wifi angu ni mdogo kwa mume wangu kwa miaka kama 6 amejuaje umbile la mume wangu? Aliliona wapi?
Em nisaidieni labda mie nina fikra tu mbovu.