MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
haahhha haa hahah Lemutuz Le supa billionea uchwara,sijui hatakuja na noah yake yenye matangazoMSAGA SUMU kuna swali ulisema utamuuliza jamaa.
haahhha haa hahah Lemutuz Le supa billionea uchwara,sijui hatakuja na noah yake yenye matangazoMSAGA SUMU kuna swali ulisema utamuuliza jamaa.
Le Mutuz naomba uni unblock aseeh.Nimekoma sitarudia tena!!
mkuu embu nigawie na mimi huo mpunga- Yaani so far hii promotion ni Ma Star wawili tu alianza Diamond now ninakuja mimi Mwana JF THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA hahahahahaha U know, halafu unajua mpunga wake hahahahaha U know and I love it!!
le Mutuz
Hata ukimtukana ye anacheka tu..Le mutuz hanaga shida na mtu.
Le baharia embu kwanza ni unblock kule instagram u know....- hahahahahahaha ngoja nimalize kipindi kwanza hahahahaha U know
le Mutuz
Nackia ulishwahi mtongoza wema sepetu akakutaa ndo maana ulikuwa Una mdiss ulijickiaje le mutuz the super billionea- Poa nipe ID yako ok guys the show was great imeisha salama, sasa kama kawa natayarisha semina ya siku moja hapa mjini nitawakutanisha Vijana Matajiri na Vijana Masikini itakuwa saafi sana Tarehe 26/2/2016
le Mutuz