Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
- Thread starter
- #21
Nashukuru kwa usahihisho bosiBrandon Lee hakuwa mdogo wa Bruce Lee bali alikuwa Mtoto wa Bruce Lee.
Miriam Makeba pia alifia jukwaani.
Nashukuru kwa usahihisho bosiBrandon Lee hakuwa mdogo wa Bruce Lee bali alikuwa Mtoto wa Bruce Lee.
Miriam Makeba pia alifia jukwaani.
Kanumba hakufariki akiwa location? Mimi namaanisha waliofariki wakiwa kazini.muda kifo kinawakuta..soma maelezo yangu na mifano niliyotoa pale juu bosi
Hakuwa location bana alikua mapenziniKanumba alikufa wakati yupo location au hajui kifo chake kilitokeaje wewe?
Hakuwa location bana alikua mapenzini
DuhWalikuwa wanaekti malavidavi ndio maana Kanumba kakutwa bila nguo
yupo Papua new guinea analima na kufuga kondooDaudi balali alikufa akiwa gavana
Isa matona kama sikosei huyu alipata ajali mitaa ya Diamond jubileee akiwahi kutumbuiza kama sikoseiKwa upande wangu nawakumbuka
1. Marc vivan foe..huyu ni mchezaji wa timu ya cameroon ambaye alifia uwanjan
2. Papa wemba alifia stejin akiwa anatumbuiza
3. Blondon lee huyu alifariki wakati wanashoot movie.ni mdogo wa blue lee
3. Kuna bend nimeisahau jina ilikuwa ina paform katika meli ya titanic.mpaka meli inazama inasemekana walikuwa bado wanapafom
Wewe unakumbuka watu gani..tufahamishane wadau
No. 3 Ni Brandon Lee mtoto wa marehemu Bruce LeeKwa upande wangu nawakumbuka
1. Marc vivan foe..huyu ni mchezaji wa timu ya cameroon ambaye alifia uwanjan
2. Papa wemba alifia stejin akiwa anatumbuiza
3. Blondon lee huyu alifariki wakati wanashoot movie.ni mdogo wa blue lee
3. Kuna bend nimeisahau jina ilikuwa ina paform katika meli ya titanic.mpaka meli inazama inasemekana walikuwa bado wanapafom
Wewe unakumbuka watu gani..tufahamishane wadau