Tukumbushe wasanii,waigizaji,wachezaji waliofariki wakiwa katika kazi zao za sanaa

Kanumba hakufariki akiwa location? Mimi namaanisha waliofariki wakiwa kazini.muda kifo kinawakuta..soma maelezo yangu na mifano niliyotoa pale juu bosi


Kanumba alikufa wakati yupo location au hajui kifo chake kilitokeaje wewe?
 
images
 
daaah ile bendi kwenye titanic aisee wenzao wapo bize kujiokoa wao wala hawana habari ndio kwanza wanazidi kutumbuiza tu
 
Kwa upande wangu nawakumbuka
1. Marc vivan foe..huyu ni mchezaji wa timu ya cameroon ambaye alifia uwanjan

2. Papa wemba alifia stejin akiwa anatumbuiza

3. Blondon lee huyu alifariki wakati wanashoot movie.ni mdogo wa blue lee

3. Kuna bend nimeisahau jina ilikuwa ina paform katika meli ya titanic.mpaka meli inazama inasemekana walikuwa bado wanapafom

Wewe unakumbuka watu gani..tufahamishane wadau
Isa matona kama sikosei huyu alipata ajali mitaa ya Diamond jubileee akiwahi kutumbuiza kama sikosei
 
Brandon Lee vs. Bolo Yeung in the 1986 Hong Kong documentary Legacy of Rage, directed by Ronny Yue. This was Brandon Lee's first leading role in a film. RIP

 
Kwa upande wangu nawakumbuka
1. Marc vivan foe..huyu ni mchezaji wa timu ya cameroon ambaye alifia uwanjan

2. Papa wemba alifia stejin akiwa anatumbuiza

3. Blondon lee huyu alifariki wakati wanashoot movie.ni mdogo wa blue lee

3. Kuna bend nimeisahau jina ilikuwa ina paform katika meli ya titanic.mpaka meli inazama inasemekana walikuwa bado wanapafom

Wewe unakumbuka watu gani..tufahamishane wadau
No. 3 Ni Brandon Lee mtoto wa marehemu Bruce Lee
 
Back
Top Bottom