Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,532
Ndiyo kinachowauaNa kupigiwa saluti.
Kupigiwa saluti upunguza uwezo wa kufikiri
Ndiyo kinachowauaNa kupigiwa saluti.
Kupigiwa saluti upunguza uwezo wa kufikiri
Huyu si ndio alisababisha mpaka sirikali ikaokota vichwa vya treni bandariniHajasaidia nchi!! Swala la Richmond na maufisadi mengi ameyafichua.
Hili viongozi wa CCM hawataki libadilike kwani litawatea shida. Wamejenga mfumo ambao watu wanafiki na wavivu ndiyo wanapata vyeo. Jna nimecheka sana kuona yule mbilikimo mlia njaa anayejiita Steve Nyerere ati amepewa ubalozi wa kupambana na covid-19! Yaani wale wajinga wajinga waliokuwa wanamuunga mkono Magufuli kuhusu ujinga wake juu ya covid-19 ndiyo wamegeuka kuwa wahamasishaji. Nafasi kama hizi walistahili wapewe watu walioonyesha msimamo chanya tangu mwanzoni. Ila shida kubwa zaidi iko kwa sisi wananchi. Tupo tupo tu hatujitambui.Tuna mfumo wa hovyo kabisa ambao unaharibu watu sababu ya njaa
Mfumo ovo ndiyo unatawalaHili viongozi wa CCM hawataki libadilike kwani litawatea shida. Wamejenga mfumo ambao watu wanafiki na wavivu ndiyo wanapata vyeo. Jna nimecheka sana kuona yule mbilikimo mlia njaa anayejiita Steve Nyerere ati amepewa ubalozi wa kupambana na covid-19! Yaani wale wajinga wajinga waliokuwa wanamuunga mkono Magufuli kuhusu ujinga wake juu ya covid-19 ndiyo wamegeuka kuwa wahamasishaji. Nafasi kama hizi walistahili wapewe watu walioonyesha msimamo chanya tangu mwanzoni. Ila shida kubwa zaidi iko kwa sisi wananchi. Tupo tupo tu hatujitambui.
Nampongeza kwa ubunifu alipokuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi. Ni yeye aliyeanzisha usafiri wa treni za abiria Jijini Dar.Hajasaidia nchi hata kidogo
Usafiri wa treni ulianzishwa na wakoloni mkuuNampongeza kwa ubunifu alipokuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi. Ni yeye aliyeanzisha usafiri wa treni za abiria Jijini Dar.
Huu usafiri wa treni wa kuja Ubungo - mjini- mjini - pugu kwa reli zote mbili alianzisha Mwakyembe.Usafiri wa treni ulianzishwa na wakoloni mkuu
Aliukuta usidanganye watu, yeye alielekeza kuwe na treni ya mjini lakini tayari kulikuwa na reli na Train ya kutoka Dar - Kigoma-MwanzaHuu usafiri wa treni wa kuja Ubungo - mjini- mjini - pugu kwa reli zote mbili alianzisha Mwakyembe.
Mwongo sana huyu mhuniKuna siku alipata ajali, akatoka mzima na akanena"nilivyonusurika na niliyoyaona ni siri yangu" namshukuru Mungu. Ndio ligonjwa la ajabu likamjia kiaina, bado anapeta. Nampongeza mwamba Mwakiembe.
Hizi technics za kulumbana unazozitumia ni za darasa la saba.Kuna mmoja amelisaidia taifa kwa kuwa gaidi na nyumbu wanamshangilia
Daladala treniTaja sasa
Tutathibitisha vp km ujinga ikiwa hatujui yaliyotokea nyuma ya pazia ktk sakata LA tume ya Richmond na yaliyofata mpaka kupatwa na ajali iliyofuatiwa na ugonjwa wa ajabu uliompelekea kubabuka ngozi,km unajua kuhusu yey mpaka unaita ni ujinga tujuze nasi tujue.Hakuna kitu cha maana ataandika zaidi ya ujinga tupu
Duuu!!! Nani aliyegawa boda???Kura za maoni za ccm Kyela 2020 rushwa ya pikipiki za boxer ziligawiwa kwa kila Katibu kata kwenye zaidi ya kata 30 , Takukuru walipoingilia walinyamazishwa kutoka Lumumba
Wewe ukiona ujinga wacha, sisi akiandika tutasomaHakuna kitu cha maana ataandika zaidi ya ujinga tupu
Kwa nin unamwita mwongo huyu mzee???Mwongo sana huyu mhuni
Alafu inawezekana hajui lolote kuhusu matukio yaliyotokea ktk harakat za MzeeWewe ukiona ujinga wacha, sisi akiandika tutasoma
2m*30Kura za maoni za ccm Kyela 2020 rushwa ya pikipiki za boxer ziligawiwa kwa kila Katibu kata kwenye zaidi ya kata 30 , Takukuru walipoingilia walinyamazishwa kutoka Lumumba
Kufichua tuHajasaidia nchi!! Swala la Richmond na maufisadi mengi ameyafichua.
Nimekumbuka boksa za Braza Hamisi alizozinunua toka kwa Mudi sijui alienda kuzifanyia nin au na yey labda alijiongeza???2m*30