Dah nimecheka sana muda wote alikuwa anapigia mbuzi GittaTenga muda soma hayo maandishi kwenye picha uone jinsi Mou anavyouelezea utukutu wa Mario
Ubabe ubabeCaptain Roy Keane
Huyu sio mbabe ila rafu zake dah
Wakuu wa jukwaa, leo tukumbushane wanasoka wakorofi katika mchezo wa kabumbu. Wanaweza wakawa na vipaji vya hali ya juu lakini bado wana tabia za ukorofi, ubabe kama sio utukutu yaani kadi nyekundu muda wowote. Wanaweza wakawa wanaendelea kucheza ama washastafu.
List yangu ni hii;
Craig Bellamy
Roy Keane
Nigel De Jong