Tukumbushane Wanasoka wakorofi, watukutu na wababe katika Soka.

Tenga muda soma hayo maandishi kwenye picha uone jinsi Mou anavyouelezea utukutu wa Mario
BC8HoY7CcAEBvt0.jpg
Dah nimecheka sana muda wote alikuwa anapigia mbuzi Gitta
 
Mimi namjua Roster Ndunguru wa Nyota Nyekundu. Huyu alikuwa anatoka upande wake kwenda kufanya rafu sehemu nyungine hata kama mpira umesimama halafu anarudi namba yake na kujikausha. Yaani refa amesimamisha mpira ili kuongea na wachezaji Rostee alikuwa anatoka alipo na kumsukuma mwenzake refa anashangaa mtu kaanguka peke yake kumbe jamaa alishamvamia na kukinbia.

Vv
 
Wakuu wa jukwaa, leo tukumbushane wanasoka wakorofi katika mchezo wa kabumbu. Wanaweza wakawa na vipaji vya hali ya juu lakini bado wana tabia za ukorofi, ubabe kama sio utukutu yaani kadi nyekundu muda wowote. Wanaweza wakawa wanaendelea kucheza ama washastafu.

List yangu ni hii;
Craig Bellamy
Roy Keane
Nigel De Jong


Ongezea na hawa kina Al Shabaab:
1.Gennaro Gattusso
2. Duncan Ferguson (Mfalme wa Roy Keane)
3. Daniel Passarella (defender mbabe wa Argentina, Inter, Fiorentina, enzi hizo....huyu alikuwa anasifikana kwa kupiga watu vichwa makusudi kusingizia alikuwa anaokoa kona/jahazi).
4. Luis (Mla watu) Suarez
5. John Terry
6. Joey Burton
7. Vinnie (hard man) Jones .....jamaa alikuwa mbabe enzi zake na alikuwa ahofii kadi nyekundu kwani hata refa alikuwa anakunjwa akimuonya Vinnie. Alikuwa anachezea Wimbledon enzi zake.
 
Back
Top Bottom