Fohadi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2020
- 770
- 2,408
Mimi nakumbuka familia yetu wazazi hawakuwa strict sana kivile kiasi cha kuogopwa na watoto. Ila kuna Sheria 3 kuu ambazo watoto hasa wa kiume ilibidi tuzifate na kuzitii kama tulihitaji kuendelea kuishi kwa amani na utekelezaji wake ulikuwa unasimamiwa kwa hali ya juu sana.
1. Hakuna kula kama hujaenda kanisani.
2. Hakuna kula kama hujaoga
3. Kila mtoto wa kiume ataosha vyombo kwa zamu zilizowekwa.
Wewe unakumbuka nini?
1. Hakuna kula kama hujaenda kanisani.
2. Hakuna kula kama hujaoga
3. Kila mtoto wa kiume ataosha vyombo kwa zamu zilizowekwa.
Wewe unakumbuka nini?