White party
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 1,019
- 1,149
Tulikuwa tukishindana kuguess nani atatangaza habari ITV, Ila nilimpenda Sauda kilumanga habari za kiinglish sijui yuko wapi now
Hyo rinorenz 21jumpstreet umenikumbusha mbali sana ndugu yangu natamani one day virudiwe big up mkuu kwa kunikumbusha ujanaWana jamvi leo nimeona japo turevew miaka hii ya nyuma vipindi vya television enzi zile 1994 kuibukia miaka ya 2000. Binafsi nakumbuka mbali sana hasa vipindi vya television ITV mfano Egoli place of Gold, 21 jump Street, Time trax, movie ya V, Rino Renz, vichekesho Kama Fresh Prince of bell air, family matters, Living Single ya Queen Latifa, Tausi ya mjuba, Vitimbi(masakuu, Ojwang' Othrong'ong'o) Vioja Mahakamani, Mambo hayo ya kina Waridi, Sumbi, bocha na Aisha. Pia kulikuwa na Tamthiliya kama The young and the restless, Sun seat beach, na Acapulco bay.
Aidha nakumbuka tulikuwa tunaangalia UEFA kupitia CFI(Canal France International). Matangazo nakumbuka kama Revola, komoa, lotion ya Jambo, hebu vingine mnisaidie CTN na DTV. Je kipindi kile watangazaji unawakumbuka? Wa ITV, CTN, na DTV. Mimi kwa itv namkumbuka Suzan Mongi nilimpenda sana sana. Karibuni tuflash back jamani.
tabitha ndo alikua mchawiHii ndio ya yule bibi mchawi?
The young and the restless...!!ITV kulikuwa na The Bold and the beautiful
Bibi alikuwa anaitwa ThabithaHii ndio ya yule bibi mchawi?
Na TimmyBibi alikuwa anaitwa Thabitha
Daaaaaah umenikumbusha football mundal na movie ya Vicent jamaa alikuwaa na kichwa cha simba alikuwa na demu wake mzuri sanaa hiviITV kulikuwa na Tamthilia fulani ya kikenya iliitwa Tamasha, movie flan ya jamaa aliitwa Vicent na alikuwa na sura ya cjui paka cjui simba, cheka na ctn ya kna mzee small,futbol mundial,
Family mattersView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Ilikuwa vichekesho vya marehemu mzee small na TupatupaCheka na ctn ilikuwa inahusu nini mkuu
Jamaa alikua anaitwa nani mkuuFamily matters
Hahahah!! Nakumbuka lile tukio liliweka gumzo haswaaa sinta kutua dar... Kipindi hicho bado ni dogo janja ati nlikuwa siamini kama kweli ametua dar, niliona kama miujiza fulani isiyosadikika hahahahahTausiii ndege wanguu!!ndege wangu wa fahari!
Nakumbuka sinta binti Kasri alivyokuja dar kwao pale kwa manjunji M/mala watu tulivunja ukuta kwenda kumshangaa...!!
Asante mleta Uzi!