Ulipataga haya matangazo?ntamwambia dogo mmoja yuko itv anichekie kwenye library yao kama watakua na haya matangazo nilikua nayapenda sana
Daah kitambo sanaaAisee zama hizo zilikua tamu sana.kwa cartoon nilikua napenda silverhawks,captain planet,double dragon,supermario,sonic,batman,flintstone na bila kusahau shivooooooo.kwa movies na series ni RoboCop, Mzee WA totoz point man jamaa alikua anapenda kuvaa pluneki,seketo dia ya mooo.kabla muvi haijaanza lazima kile kibwagizo niimbe nao..secreto diaaaaa moooo secretoooo secretoooo diaaa mooo.isidingo niliifatilia kipindi imeanza kulikua na jamaa matata anarasta derick nyati,Tausi kina mujuba aisee nilikopi adi kutongoza lafudhi ya kikenya,mambo hayo kina bishanga bashaija na nyingine ilikua inaitwa dhoruba ilikua inatisha mpaka wakaiondoa.Mzee flani anafufuka alafu anasema nakuja kama dhorubaaaaaa yani shule iko maporini kuwahi Namba nikawa naogopa nikiikumbuka hiyo muvi.kipindi hicho kwenye mpira kulikua na vichwa kama babayaro,babangida,Sunday olise,ucheokochuku,okocha,kanu,ndiefi,ronaldo de Lima anachambua Uwanja mzima,batistuta,otega,edgar Davis,zizu na wengine wengi.masumbwi Tyson k.o. za kutosha.na kwa matangazo ni lile la nipen NGUO nifue komoa na sabuni ya komoaaa ayeyeee komoaaa.jingine ni Mshindi sabuni yenye nguvu yenye kutakatisha kuliko zote mshindiiiii.pia kuna la gazeti letu mtanzania gazeti la habari kemukem habari za kitaifa habari za watoto na makala maalum kwa jamii yote.kuna chai bora kilele cha ubora chai bora ni majani ya tatepa iwe na maziwa isiwe na maziwa vyovyote vile utachangamka.la mwisho ni tufanye kazi kwa nguvu zote kazi kazi tujenge taifa letu baada ya kazi ni kuburudika ni wakati WA tusker.mpaka Leo ndio bia yangu
Kaka hauna matangazo mengine?Hili ndilo tangazo la christmass ambalo hata coca cola wenyewe wanakili walipitiliza ubunifu.................lina mzuka wa hali ya juu. Kama uliliona utotoni miaka ya 1996 basi unaweza tokwa na chozi maana linarejesha kumbukumbu nyingi sana za miaka ile wakati huo sikukuu ilikuwa ni raha sana tofauti na sasa.
Sikufanikiwa mkuu
Umetisha Sanaa mzeeThe Bold and the beautiful
Egoli
Acapulco bay
Days of our lives
Tamthilia ya tausi
Isidingo
Cartoon (Deedee na Dexter)
Zembwela na Maxi
Baadae zikaja zikaanza....
La mujer de mi vida (Babarita, Antonio Adolfo, Catusca na Consuela)
La mujer di Lorenzo.
Nimekumbuka African soccer show I.T.V kila jumapili saa moja usikuKilikuwa kitamu sana hichoo
Jamaa umenikumbusha mbali sanaHanging with Mr. Cooper
View attachment 402157
Perfect strangers
View attachment 402158
Family Matters
View attachment 402159
Robocop
View attachment 402160
Dark Justice
View attachment 402161
Pointman
View attachment 402162
Kwa kipindi hicho local TV zetu zilikuwa na vipindi vizuri sana mtu hata hufikirii kutafuta channel za nje
Hii kimba the white lion nilikuwa napenda sana huu wimbo unavyoanza au kuishaKwa upande wa watoto kuanzia 4pm mpaka 6pm
View attachment 402173 View attachment 402174 View attachment 402175 View attachment 402177 View attachment 402178 View attachment 402179 View attachment 402180
Kifuatacho ITV, yule dada muhindi ndo alikuwa anasema kifuatacho ITV na kutoa muhtasari kidogo kama ni tamthilia, nakumbuka tamthilia ya Acapulco, na moja ilikuwa kali sana nimesahau jina ila ina neno beach!
The young and the restlessThe Bold and the beautiful
Egoli
Acapulco bay
Days of our lives
Tamthilia ya tausi
Isidingo
Cartoon (Deedee na Dexter)
Zembwela na Maxi
Baadae zikaja zikaanza....
La mujer de mi vida (Babarita, Antonio Adolfo, Catusca na Consuela)
La mujer di Lorenzo.