Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Daaah Mzee umenikumbusha mbali Sana aiseeeee kitamboo sana, hivii hauna ka video kake?
 
Aisee zama hizo zilikua tamu sana.kwa cartoon nilikua napenda silverhawks,captain planet,double dragon,supermario,sonic,batman,flintstone na bila kusahau shivooooooo.kwa movies na series ni RoboCop, Mzee WA totoz point man jamaa alikua anapenda kuvaa pluneki,seketo dia ya mooo.kabla muvi haijaanza lazima kile kibwagizo niimbe nao..secreto diaaaaa moooo secretoooo secretoooo diaaa mooo.isidingo niliifatilia kipindi imeanza kulikua na jamaa matata anarasta derick nyati,Tausi kina mujuba aisee nilikopi adi kutongoza lafudhi ya kikenya,mambo hayo kina bishanga bashaija na nyingine ilikua inaitwa dhoruba ilikua inatisha mpaka wakaiondoa.Mzee flani anafufuka alafu anasema nakuja kama dhorubaaaaaa yani shule iko maporini kuwahi Namba nikawa naogopa nikiikumbuka hiyo muvi.kipindi hicho kwenye mpira kulikua na vichwa kama babayaro,babangida,Sunday olise,ucheokochuku,okocha,kanu,ndiefi,ronaldo de Lima anachambua Uwanja mzima,batistuta,otega,edgar Davis,zizu na wengine wengi.masumbwi Tyson k.o. za kutosha.na kwa matangazo ni lile la nipen NGUO nifue komoa na sabuni ya komoaaa ayeyeee komoaaa.jingine ni Mshindi sabuni yenye nguvu yenye kutakatisha kuliko zote mshindiiiii.pia kuna la gazeti letu mtanzania gazeti la habari kemukem habari za kitaifa habari za watoto na makala maalum kwa jamii yote.kuna chai bora kilele cha ubora chai bora ni majani ya tatepa iwe na maziwa isiwe na maziwa vyovyote vile utachangamka.la mwisho ni tufanye kazi kwa nguvu zote kazi kazi tujenge taifa letu baada ya kazi ni kuburudika ni wakati WA tusker.mpaka Leo ndio bia yangu
Daah kitambo sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndilo tangazo la christmass ambalo hata coca cola wenyewe wanakili walipitiliza ubunifu.................lina mzuka wa hali ya juu. Kama uliliona utotoni miaka ya 1996 basi unaweza tokwa na chozi maana linarejesha kumbukumbu nyingi sana za miaka ile wakati huo sikukuu ilikuwa ni raha sana tofauti na sasa.
Kaka hauna matangazo mengine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitambo sanaa
JamiiForums1169540444.jpg
 
The Bold and the beautiful
Egoli
Acapulco bay
Days of our lives
Tamthilia ya tausi
Isidingo
Cartoon (Deedee na Dexter)
Zembwela na Maxi
Baadae zikaja zikaanza....
La mujer de mi vida (Babarita, Antonio Adolfo, Catusca na Consuela)
La mujer di Lorenzo.
 
The Bold and the beautiful
Egoli
Acapulco bay
Days of our lives
Tamthilia ya tausi
Isidingo
Cartoon (Deedee na Dexter)
Zembwela na Maxi
Baadae zikaja zikaanza....
La mujer de mi vida (Babarita, Antonio Adolfo, Catusca na Consuela)
La mujer di Lorenzo.
Umetisha Sanaa mzee
 
Sunsent Beach ilikuwa nzuri enzi izo walikuwa wanaonyesha matukio yote walikuwa hawakati
Kifuatacho ITV, yule dada muhindi ndo alikuwa anasema kifuatacho ITV na kutoa muhtasari kidogo kama ni tamthilia, nakumbuka tamthilia ya Acapulco, na moja ilikuwa kali sana nimesahau jina ila ina neno beach!
 
The Bold and the beautiful
Egoli
Acapulco bay
Days of our lives
Tamthilia ya tausi
Isidingo
Cartoon (Deedee na Dexter)
Zembwela na Maxi
Baadae zikaja zikaanza....
La mujer de mi vida (Babarita, Antonio Adolfo, Catusca na Consuela)
La mujer di Lorenzo.
The young and the restless
 
Nilikuwa napenda sana kusikiliza zile instrumental za ITV zilizokuwa zinapigwa sambamba na wakati wa kuonyeshesha ratiba za vipindi kabla matangazo hayajaanza rasmi jioni, sijui naweza kuzipata wapi...!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom