Tukumbushane Vihoja na vituko vya viongozi wa Afrika

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,738
155,424
Vituko Vya Marais: Kisa Cha Rais Mfupi Aliyeogopa Maswali Ya Wanahabari...!

Ndugu zangu,
Afrika yetu ina mambo. ” Ex Africa simper aliquid novi”. Maana yake: “Kila kukicha kitazuka kioja kingine Afrika. Alipata kutamka Ptolemy, mwanafalsafa wa Kiyunani.

Kuna kisa cha Rais wa Liberia aliyeitwa William Tubmann, huyu alitawala Liberia kutoka mwaka 1944 hadi 1964. Enzi hizo, alikuwa ni Rais ‘ Mzee wa Makamo’ kwenye ‘Nchi kijana’- Liberia.
Rais Tubmann alikuwa na vituko haswa. Moja ya vituko vyake ni pale alipokwenda kwa mara ya kwanza nchini Ethiopia kushiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU). Ni mwaka 1963.

Rais Tubmann alikuwa ni mwoga sana wa kupanda ndege. Basi, akafunga safari ya meli kutoka Monrovia, Liberia kwenda Ethiopia. Safari ilimchukua mwezi mzima. Akatua Ethiopia akiwa amechoka na kuwakuta Marais wenzake wa Afrika wanamsubiri.

Na akawa kivutio kikubwa pia kwa wanahabari. Lakini, Rais Tubmann aliwaogopa sana wanahabari na maswali yao. Yasemekana, katika Urais wake hakuwahi kujibu swali lolote gumu la mwanahabari.
Pale Ethiopia, akarushiwa swali kuhusu hali ya siasa nchini mwake. Rais akaliogopa swali, na alikuwa na mbinu zake za kuyakwepa maswali.

Akiulizwa swali huchukua kiko chake na kuanza kuvuta. Na kinachotokea?
Kama pale Addis Ababa enzi hizo. Rais akalisikia swali, akachukua kiko chake huku wanahabari wakisubiri kwa hamu kubwa kusikia jibu la Rais. Naye akiwa amekaa kwenye kiti chake hotelini akavuta ‘ugolo’ wake kwenye kiko chake.

Kabla hajajibu swali, mara akaanza kupiga chafya mfululizo. Akapiga chafya weee, mpaka machozi yakaanza kumtoka. Kila mmoja akamwonea huruma. Na wengine wakaangua vicheko. Wasaidizi wa Rais wakawataka radhi wanahabari ili kumruhusu Mheshimiwa Rais akapumzike.

Rais Tubmann akawa ametoka mahali hapo bila kujibu swali hata moja!
Naam, Afrika Kuna Mambo!

Kwa hisani ya maggid
 
Africa Kusini kuna Rais alinusurika kuambukizwa ukimwi baada ya kufanya mapenzi na mwathirika wa ukimwi. Alipo ulizwa umewezaje kupona? Akasema baada tu ya kufika kileleni alijichomoa kisha akaenda kuosha jogoo wake, aliiosha sana hadi wadudu wote wa ukimwi wakaondoka.
Rais huyo ametahiriwa miezi michache nyuma
Zuma is crazy. Umenifanya nimkumbuke Xuma wa kwenye "Mine Boy"
 
Vituko Vya Marais: Kisa Cha Rais Mfupi Aliyeogopa Maswali Ya Wanahabari...!
Ndugu zangu,
Afrika yetu ina mambo. ” Ex Africa simper aliquid novi”. Maana yake: “Kila kukicha kitazuka kioja kingine Afrika. Alipata kutamka Ptolemy, mwanafalsafa wa Kiyunani.
Kuna kisa cha Rais wa Liberia aliyeitwa William Tubmann, huyu alitawala Liberia kutoka mwaka 1944 hadi 1964. Enzi hizo, alikuwa ni Rais ‘ Mzee wa Makamo’ kwenye ‘Nchi kijana’- Liberia.
Rais Tubmann alikuwa na vituko haswa. Moja ya vituko vyake ni pale alipokwenda kwa mara ya kwanza nchini Ethiopia kushiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU). Ni mwaka 1963.
Rais Tubmann alikuwa ni mwoga sana wa kupanda ndege. Basi, akafunga safari ya meli kutoka Monrovia, Liberia kwenda Ethiopia. Safari ilimchukua mwezi mzima. Akatua Ethiopia akiwa amechoka na kuwakuta Marais wenzake wa Afrika wanamsubiri.
Na akawa kivutio kikubwa pia kwa wanahabari. Lakini, Rais Tubmann aliwaogopa sana wanahabari na maswali yao. Yasemekana, katika Urais wake hakuwahi kujibu swali lolote gumu la mwanahabari.
Pale Ethiopia, akarushiwa swali kuhusu hali ya siasa nchini mwake. Rais akaliogopa swali, na alikuwa na mbinu zake za kuyakwepa maswali.
Akiulizwa swali huchukua kiko chake na kuanza kuvuta. Na kinachotokea?
Kama pale Addis Ababa enzi hizo. Rais akalisikia swali, akachukua kiko chake huku wanahabari wakisubiri kwa hamu kubwa kusikia jibu la Rais. Naye akiwa amekaa kwenye kiti chake hotelini akavuta ‘ugolo’ wake kwenye kiko chake.
Kabla hajajibu swali, mara akaanza kupiga chafya mfululizo. Akapiga chafya weee, mpaka machozi yakaanza kumtoka. Kila mmoja akamwonea huruma. Na wengine wakaangua vicheko. Wasaidizi wa Rais wakawataka radhi wanahabari ili kumruhusu Mheshimiwa Rais akapumzike.
Rais Tubmann akawa ametoka mahali hapo bila kujibu swali hata moja!
Naam, Afrika Kuna Mambo!

Kwa hisani ya maggid
Huyo bwana alikuwa kiboko
 
Vituko Vya Marais: Kisa Cha Rais Mfupi Aliyeogopa Maswali Ya Wanahabari...!

Ndugu zangu,
Afrika yetu ina mambo. ” Ex Africa simper aliquid novi”. Maana yake: “Kila kukicha kitazuka kioja kingine Afrika. Alipata kutamka Ptolemy, mwanafalsafa wa Kiyunani.

Kuna kisa cha Rais wa Liberia aliyeitwa William Tubmann, huyu alitawala Liberia kutoka mwaka 1944 hadi 1964. Enzi hizo, alikuwa ni Rais ‘ Mzee wa Makamo’ kwenye ‘Nchi kijana’- Liberia.
Rais Tubmann alikuwa na vituko haswa. Moja ya vituko vyake ni pale alipokwenda kwa mara ya kwanza nchini Ethiopia kushiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU). Ni mwaka 1963.

Rais Tubmann alikuwa ni mwoga sana wa kupanda ndege. Basi, akafunga safari ya meli kutoka Monrovia, Liberia kwenda Ethiopia. Safari ilimchukua mwezi mzima. Akatua Ethiopia akiwa amechoka na kuwakuta Marais wenzake wa Afrika wanamsubiri.

Na akawa kivutio kikubwa pia kwa wanahabari. Lakini, Rais Tubmann aliwaogopa sana wanahabari na maswali yao. Yasemekana, katika Urais wake hakuwahi kujibu swali lolote gumu la mwanahabari.
Pale Ethiopia, akarushiwa swali kuhusu hali ya siasa nchini mwake. Rais akaliogopa swali, na alikuwa na mbinu zake za kuyakwepa maswali.

Akiulizwa swali huchukua kiko chake na kuanza kuvuta. Na kinachotokea?
Kama pale Addis Ababa enzi hizo. Rais akalisikia swali, akachukua kiko chake huku wanahabari wakisubiri kwa hamu kubwa kusikia jibu la Rais. Naye akiwa amekaa kwenye kiti chake hotelini akavuta ‘ugolo’ wake kwenye kiko chake.

Kabla hajajibu swali, mara akaanza kupiga chafya mfululizo. Akapiga chafya weee, mpaka machozi yakaanza kumtoka. Kila mmoja akamwonea huruma. Na wengine wakaangua vicheko. Wasaidizi wa Rais wakawataka radhi wanahabari ili kumruhusu Mheshimiwa Rais akapumzike.

Rais Tubmann akawa ametoka mahali hapo bila kujibu swali hata moja!
Naam, Afrika Kuna Mambo!

Kwa hisani ya maggid
Afrika ni bala ambalo kuna watu wenye akiri sana duniani na ni bara tajiri sana duniani,ila tuna ugonjwa moja mkubwa sana ambao alituloga mzungu kuwa tunawaza mambo ya kare,na kila siku tunawaza mambo mabaya waliyo yafanya waafrika wenzetu badala ya kuwaza jinsi ya kuyasahihisha hayo mambo ili tusonge mbele,nadhani tukitoka kwenye huu ugonjwa Afrika tutaweza kusonga mbele,na haya tutafanikiwa iwapo tu katika dialog zetu ziwe ni solution oriented na sio problem oriented.
 
Ahsante Bujibuji, umeleta topic murua imeniacha hoi kwa kucheka hasa huyo aliyechomoka mbioi kwenda kuoga asiambukizwe! mm only in Africa!
 
hata hili la kubana matumizi kwa safari za nje kisa language ya mkoloni itakuwa kati ya vituko vya maraisi wa Afrika very soon
 
Vituko Vya Marais: Kisa Cha Rais Mfupi Aliyeogopa Maswali Ya Wanahabari...!

Ndugu zangu,
Afrika yetu ina mambo. ” Ex Africa simper aliquid novi”. Maana yake: “Kila kukicha kitazuka kioja kingine Afrika. Alipata kutamka Ptolemy, mwanafalsafa wa Kiyunani.

Kuna kisa cha Rais wa Liberia aliyeitwa William Tubmann, huyu alitawala Liberia kutoka mwaka 1944 hadi 1964. Enzi hizo, alikuwa ni Rais ‘ Mzee wa Makamo’ kwenye ‘Nchi kijana’- Liberia.
Rais Tubmann alikuwa na vituko haswa. Moja ya vituko vyake ni pale alipokwenda kwa mara ya kwanza nchini Ethiopia kushiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU). Ni mwaka 1963.

Rais Tubmann alikuwa ni mwoga sana wa kupanda ndege. Basi, akafunga safari ya meli kutoka Monrovia, Liberia kwenda Ethiopia. Safari ilimchukua mwezi mzima. Akatua Ethiopia akiwa amechoka na kuwakuta Marais wenzake wa Afrika wanamsubiri.

Na akawa kivutio kikubwa pia kwa wanahabari. Lakini, Rais Tubmann aliwaogopa sana wanahabari na maswali yao. Yasemekana, katika Urais wake hakuwahi kujibu swali lolote gumu la mwanahabari.
Pale Ethiopia, akarushiwa swali kuhusu hali ya siasa nchini mwake. Rais akaliogopa swali, na alikuwa na mbinu zake za kuyakwepa maswali.

Akiulizwa swali huchukua kiko chake na kuanza kuvuta. Na kinachotokea?
Kama pale Addis Ababa enzi hizo. Rais akalisikia swali, akachukua kiko chake huku wanahabari wakisubiri kwa hamu kubwa kusikia jibu la Rais. Naye akiwa amekaa kwenye kiti chake hotelini akavuta ‘ugolo’ wake kwenye kiko chake.

Kabla hajajibu swali, mara akaanza kupiga chafya mfululizo. Akapiga chafya weee, mpaka machozi yakaanza kumtoka. Kila mmoja akamwonea huruma. Na wengine wakaangua vicheko. Wasaidizi wa Rais wakawataka radhi wanahabari ili kumruhusu Mheshimiwa Rais akapumzike.

Rais Tubmann akawa ametoka mahali hapo bila kujibu swali hata moja!
Naam, Afrika Kuna Mambo!

Kwa hisani ya maggid
Umeandika vizuri sana ila umeharibu kabisa hapo ulipomalizia kwa kusema kwa hisani ya maggid mjengwa wa ccm, habari yako yote imeharibika na kuwa hadithi ya kisanii
 
Afrika ni bala ambalo kuna watu wenye akiri sana duniani na ni bara tajiri sana duniani,ila tuna ugonjwa moja mkubwa sana ambao alituloga mzungu kuwa tunawaza mambo ya kare,na kila siku tunawaza mambo mabaya waliyo yafanya waafrika wenzetu badala ya kuwaza jinsi ya kuyasahihisha hayo mambo ili tusonge mbele,nadhani tukitoka kwenye huu ugonjwa Afrika tutaweza kusonga mbele,na haya tutafanikiwa iwapo tu katika dialog zetu ziwe ni solution oriented na sio problem oriented.
well said brother
 
Back
Top Bottom