Tukumbushane Vihoja na vituko vya viongozi wa Afrika

Africa Kusini kuna Rais alinusurika kuambukizwa ukimwi baada ya kufanya mapenzi na mwathirika wa ukimwi. Alipo ulizwa umewezaje kupona? Akasema baada tu ya kufika kileleni alijichomoa kisha akaenda kuosha jogoo wake, aliiosha sana hadi wadudu wote wa ukimwi wakaondoka.
Rais huyo ametahiriwa miezi michache nyuma
Ha ha ha full vituko!!!!
 
rais kjana kabsa samuel doe wa liberia alkua anafata vmada paris ufaransa na kuna wakat aliagza vmada kutoka nje ya nch. ndev alshev salun za ulaya uyubwana. kifo chake kilikua fedhea 2pu alpinduliwa akakamatwa akaburuzwa mtaan had kufa
 
Yule aliyemtaka malkia wa u.k kimapenzi,na yule aliyetengeneza airport kubwa kijijini kwao,Acha tu Afrika INA vituko
 
Afrika ni bala ambalo kuna watu wenye akiri sana duniani na ni bara tajiri sana duniani,ila tuna ugonjwa moja mkubwa sana ambao alituloga mzungu kuwa tunawaza mambo ya kare,na kila siku tunawaza mambo mabaya waliyo yafanya waafrika wenzetu badala ya kuwaza jinsi ya kuyasahihisha hayo mambo ili tusonge mbele,nadhani tukitoka kwenye huu ugonjwa Afrika tutaweza kusonga mbele,na haya tutafanikiwa iwapo tu katika dialog zetu ziwe ni solution oriented na sio problem oriented.
Bala=bara
Karen= kale
Akiri=akili
Afu acha huo ugonjwa wa kuquote uzi mrefu ivyo.
 
Kuna rais mmoja katika nchi moja Afrika ambaye baada ya kuchaguliwa tu, aliingia ikulu akafukuza wapishi wote na kumuajiri mkewe kuwa mpishi mkuu.
 
Kuna mmoja wa Tunisia jina limenitoka alikuwa mtu mzima sana sasa akiwa penye kikao anasinzia akija kustuka anawaambia wajumbe kabla usingizi haujanipitia tuliishia hapa inabidi mjumbe arudie pale na hoja zote zilizompita inabidi zirudiwe.
 
a46d0844bd97b36f4760c24cbe7f5cbd.jpg

Huyu pia ni Wa aina yake!
 
Kuna mmoja Africa alisema kila siku mnamsema anachomoa anachomoa kwani amechomeka nini?
 
Back
Top Bottom