Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,574
- 3,133
Kumuita mwanangu naona sahihi. Kwa kizazi hiki ambacho watoto wanajua vingi na ukamuita mchumba huoni ya kuwa unawahamisha kwenye reli.Hujui kitu. Neno mchumba, rafiki, babu au bibi hutumiwa na watu wazima kuwatambua watoto, a social interaction. Mtoto hitaji lake kubwa ni kupenda, kujaliwa.
Ukimuita mchumba ndo ataona anapendwa kuliko kuitwa mwanangu.??