Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,804
- 12,555
Utoto Ni Raha Sana jamani. Nakumbuka kipindi Niko mtoto nilikuwa active Sana kwenye michezo mbali mbali ya utotoni. Ila kina michezo hatari Sana ambayo tulikuwa tunashiriki Kisha iikatusababishia madhara tukaishia hospitalini.
Nakumba nikiwa mtoto nilikuwa nikiwa na watoto wenzangu tulikuwa tunachezo huu mchezo hatarii wa kusukumiza punje za mahindi kwenye pia Kisha tunazitoa kwa zamu.Yaani mmoja wenu anachukua punje anaisukuma puani Kisha anabana tundu Moja la pua anasneeze afu punje inaruka kulee Kama risasi.
Ilifika zamu yangu na ununda wangu wote nikapitiliza punje puani ikatokomea. Aisew nilisneeze zaidi ya Mara 50 bt all was in vain punje haikutoka. Rafiki zangu walipoona kimeumana waliamua kunitoroka nikawa nimebaki chini nagaka gala na kulia kwa nguvu.
Nilipelekwa hospitalini nikapewa msaada nikaukoma huo mchezo hatari.
Kisha Cha pili Kuna siku nilienda kwa Bibi nikakuta ameponda pili pili ameianika nikaanza kucheza nayo.Kwa ujinga wangu uliotukuka nilishika usoni na mikoni yenye pili pili ikaniingia usoni. Uchungu wa pili pili mnaujua wakuu. Nililia sana Hadi macho yakavimba.Nilipelekwa hospitalini nikatiwa dawa macho yakawa sawa.
Nakumba nikiwa mtoto nilikuwa nikiwa na watoto wenzangu tulikuwa tunachezo huu mchezo hatarii wa kusukumiza punje za mahindi kwenye pia Kisha tunazitoa kwa zamu.Yaani mmoja wenu anachukua punje anaisukuma puani Kisha anabana tundu Moja la pua anasneeze afu punje inaruka kulee Kama risasi.
Ilifika zamu yangu na ununda wangu wote nikapitiliza punje puani ikatokomea. Aisew nilisneeze zaidi ya Mara 50 bt all was in vain punje haikutoka. Rafiki zangu walipoona kimeumana waliamua kunitoroka nikawa nimebaki chini nagaka gala na kulia kwa nguvu.
Nilipelekwa hospitalini nikapewa msaada nikaukoma huo mchezo hatari.
Kisha Cha pili Kuna siku nilienda kwa Bibi nikakuta ameponda pili pili ameianika nikaanza kucheza nayo.Kwa ujinga wangu uliotukuka nilishika usoni na mikoni yenye pili pili ikaniingia usoni. Uchungu wa pili pili mnaujua wakuu. Nililia sana Hadi macho yakavimba.Nilipelekwa hospitalini nikatiwa dawa macho yakawa sawa.