cjilo JF-Expert Member Sep 8, 2011 884 444 Jul 21, 2015 #1 WanaJF naomba tutumie uzi huu kukumbushana matukio yote ya uhalifu yaliyokuwa na majibu tata/korofi toka kwa wanausalama wetu.
WanaJF naomba tutumie uzi huu kukumbushana matukio yote ya uhalifu yaliyokuwa na majibu tata/korofi toka kwa wanausalama wetu.
Sizinga Platinum Member Oct 30, 2007 9,101 6,026 Jul 21, 2015 #2 Stakishari na sinema ya Kova eti tumewakamata!! Kazi kwelikweli
cjilo JF-Expert Member Sep 8, 2011 884 444 Jul 21, 2015 Thread starter #3 Sizinga said: Stakishari na sinema ya Kova eti tumewakamata!! Kazi kwelikweli Click to expand... Jeshi kuna haja ya kubadili mfumo wake wa ufanyaji kazi maana tutaendelea kunyanyaswa na majambazi mapaka basi
Sizinga said: Stakishari na sinema ya Kova eti tumewakamata!! Kazi kwelikweli Click to expand... Jeshi kuna haja ya kubadili mfumo wake wa ufanyaji kazi maana tutaendelea kunyanyaswa na majambazi mapaka basi
Mgirik JF-Expert Member Apr 27, 2013 13,204 13,182 Jul 21, 2015 #4 cjilo said: Jeshi kuna haja ya kubadili mfumo wake wa ufanyaji kazi maana tutaendelea kunyanyaswa na majambazi mapaka basi Click to expand... mnyanyaswe tena bado maana mmezidi kuwatukana na kuwadharau polisi acha mkojolew tu na mtakata hadi viuno
cjilo said: Jeshi kuna haja ya kubadili mfumo wake wa ufanyaji kazi maana tutaendelea kunyanyaswa na majambazi mapaka basi Click to expand... mnyanyaswe tena bado maana mmezidi kuwatukana na kuwadharau polisi acha mkojolew tu na mtakata hadi viuno
G guasa JF-Expert Member Dec 30, 2013 1,934 658 Jul 21, 2015 #5 Tukio wizi benki ya CRDB azikiwe liliniacha hoi.