Warrior Ruff
Member
- Nov 19, 2011
- 40
- 6
Chadema walivyopanua mapaja na kwenda Ikulu *****
Hujaelewa mada ni bora ukae kimya.nakumbuka sana mnamo october 2010 ccm iliposhika madaraka kwa awamu ya pili
Hee! Pole sn. Tutajie ID ya huyo muuaji basi!nakumbuka jinsi mtt wangu alivouliwa na jamaa mmoja tena huku akishirikiana na mama yake.wakati nipo kwenye msiba huo anataka kunimaliza kbs kwa kuniibia pesa zote nilizokuwa nazo kkisha kuzitafuna na mama yake. Cha ajabu na kushangaza ni mwanajf na hujifanya kuandika madam mbili mbali humu jamvini .kn ni muuaji tena tapeli mkubwa.ila yanayompata kwa sasa nafikiri anajutia nafsi yake na kwakweli malipo ni hapahapa duniani.
mabomu ya gongo la mboto, kifo cha sheikh yahaya,.kifo cha gaddafi, kuachiwa huru kwa askari waliomuua imran kombe, lowassa kumpasulia ukweli jk kuhusu richmond, kuvuma kwa habari et mwisho wa dunia 21/5/11
nakumbuka jinsi mtt wangu alivouliwa na jamaa mmoja tena huku akishirikiana na mama yake.wakati nipo kwenye msiba huo anataka kunimaliza kbs kwa kuniibia pesa zote nilizokuwa nazo kkisha kuzitafuna na mama yake. Cha ajabu na kushangaza ni mwanajf na hujifanya kuandika madam mbili mbali humu jamvini .kn ni muuaji tena tapeli mkubwa.ila yanayompata kwa sasa nafikiri anajutia nafsi yake na kwakweli malipo ni hapahapa duniani.