Siku Jairo,aliposema Wabunge ni Comedianz
Mimi sintosahau mwaka 2000 siku NEC-CCM ilipompendekeza JK kuwa mgombea urais nilijua tutajuta.
Mimi sintosahau mwaka 2000 siku NEC-CCM ilipompendekeza JK kuwa mgombea urais nilijua tutajuta.
Sintosahau kauli za JK
1. Sijui kwanini Tz ni maskini
2. Wanafunzi wanaopata mimba ni kiherehere chao
3. Simjui mmiliki wa Dowans
4. Mimi siwezi kujigeuza mvua nikanyesha nikajaza mabwawa ili umeme upatikane
5. Kubwa zaidi nikuibuliwa mafisadi wengi ndani ya ccm na Jk bila aibu aliwakumbatia bila kumwajibisha hata mmoja kama Jairo na wenzake.
nuksi hailetwi na kukumbuka mambo ya huzuni yaliyotokeakwa nini tusikumbushane ya furaha? Kila tukikumbuka za kusikitisha tunazidi kuvuta nuksi tu...