Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Wakuu Leo baada ya kuwasha TV na kukuta maadhimisho ya siku ya kifo cha baba wa taifa mwl J.K Nyerere basi nikakumbuka miaka 21 iliyopita ambayo ndo ilikua siku ya kwanza kuona video katika Yale mabanda umiza
Nakumbuka siku hiyo nlikua napita karibu na jengo la abiria wilaya flani ya mkoa wa Mtwara nikasikia bunduki zinapigwa ndani,bro akaniambia njoo tuingie tuangalie trela then tuendelee na safari yetu
Nakumbuka enzi zile muvi kama za Anorld shoziniga,Van dame,chuck Norris ,Bruce Lee na legendary wengine wa action muvi ndo zilibamba sana hiyo ni mwaka 1996
Mwaka 1999 wakati wa kifo cha baba wa taifa tulifuatilia matangazo ya TV kupitia kuchungulia dirishani kwa tajiri mmoja hivi yani TV ilikua nyumba moja moja enzi hizo
Ebu na wewe tukumbushe mara ya kwanza kuona TV/Video ilikua mwaka gani
Nakumbuka siku hiyo nlikua napita karibu na jengo la abiria wilaya flani ya mkoa wa Mtwara nikasikia bunduki zinapigwa ndani,bro akaniambia njoo tuingie tuangalie trela then tuendelee na safari yetu
Nakumbuka enzi zile muvi kama za Anorld shoziniga,Van dame,chuck Norris ,Bruce Lee na legendary wengine wa action muvi ndo zilibamba sana hiyo ni mwaka 1996
Mwaka 1999 wakati wa kifo cha baba wa taifa tulifuatilia matangazo ya TV kupitia kuchungulia dirishani kwa tajiri mmoja hivi yani TV ilikua nyumba moja moja enzi hizo
Ebu na wewe tukumbushe mara ya kwanza kuona TV/Video ilikua mwaka gani