Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,502
- 23,581
Habari wana Jamii,
Wengi tuliofanikiwa kupita vyuo vikuu tumepitia mengi sana, kama vile wenge la 1st year, kukosa au kuchelewa kwa mikopo (boom), kupanga hostel uswazi take away, mikiki ya malecturer pasua kichwa (anaamka asubuhi kagombana na mwandani wake anakuja kushusha hasira kwenye lecture na assignment au test), mbio za kijiti kukwepa supp/carry/incomplete, madeni kwa mama ntilie na kwa mangi, wazee wa tungi na kurudi hostel asubuhi, wambea na viherehere wa darasa, wazee wa hangover class, teamwork za exams, style za kucheat kwenye exams, lecturer kutongoza wanafunzi (kwa wadada ukigoma mualiko supp au carry inakuhusu), bash, kutereza na kujaza mabinti mimba (una gradu mtoto anatembea na kuongea), kuibiana notes na vitabu, kuchelewa vipindi, kuandikiana attendance na mengine mengi.
Ninaamini humu tupo raia wenye level tofauti kielimu, pia kuna walimu na malecture wa shule na vyuo wengi tu. Wengi wetu tuliofanikiwa kupitia/kusikia mikiki mikiki ya vyuo vikuu tanzania hebu tukutane na tukumbushane.
Hebu shusha "SINTOSAHAU" yako hapa.
Nafungua kikao,
Wengi tuliofanikiwa kupita vyuo vikuu tumepitia mengi sana, kama vile wenge la 1st year, kukosa au kuchelewa kwa mikopo (boom), kupanga hostel uswazi take away, mikiki ya malecturer pasua kichwa (anaamka asubuhi kagombana na mwandani wake anakuja kushusha hasira kwenye lecture na assignment au test), mbio za kijiti kukwepa supp/carry/incomplete, madeni kwa mama ntilie na kwa mangi, wazee wa tungi na kurudi hostel asubuhi, wambea na viherehere wa darasa, wazee wa hangover class, teamwork za exams, style za kucheat kwenye exams, lecturer kutongoza wanafunzi (kwa wadada ukigoma mualiko supp au carry inakuhusu), bash, kutereza na kujaza mabinti mimba (una gradu mtoto anatembea na kuongea), kuibiana notes na vitabu, kuchelewa vipindi, kuandikiana attendance na mengine mengi.
Ninaamini humu tupo raia wenye level tofauti kielimu, pia kuna walimu na malecture wa shule na vyuo wengi tu. Wengi wetu tuliofanikiwa kupitia/kusikia mikiki mikiki ya vyuo vikuu tanzania hebu tukutane na tukumbushane.
Hebu shusha "SINTOSAHAU" yako hapa.
Nafungua kikao,