Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

Muhuni nimepiga udsm 3 years ila sikumbuki jina hata la lecturer mmoja zaidi ya huyu jamaa alikua anapigisha sociology yuko mtandaoni mahusiano motivation speaker... nilikua nakuja kupiga pepa tu chuo na kukusanya madesa

always unanikuta na begi kuubwa mgongoni limejaa ushenzi wa mtaani tu... wakusoma walikua wananiona muhuni tu sijakaa mabibo wala main campus...

daah i wish ningejichanganyaga na life ya chuo yani sikuwaga hata na dem wa chuo mi kitaa tu...

Any way niko kitaa life linasonga mazaga yanapatikana inshallaah tutaulrudi tena kusoma tupate hizo experience zilizotupita
Umekosa mengi sana hata papuchi za kontena jipya haujatafuna,inabidi urudi hata ukasome masters ya DS kama mkuu wa wilaya ile😂😂
 
Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.

Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.

Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.

Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajihita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.

Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.

Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.

Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla hakijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).

Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year).Hasikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .

Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.

Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato pori mwendo ws kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.

Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmojs usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.
Kwa huu uandishi wako wa kuchanganya a na ha, u na hu ulisoma UDSM ya wapi, si mnasemaga nyie ni cream ya taifa au ndiyo unathibitisha nyie ndiyo jalalani pro max?!
 
Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.

Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.

Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.

Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajihita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.

Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.

Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.

Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla hakijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).

Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year).Hasikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .

Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.

Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato poli mwendo ws kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.

Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmojs usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.
Umeniangusha hiki Kiswahili aisee. Kwa kiwango chako , na namna unajigamba hivi, hukupaswa kuwa mbovu hivi wa lugha. Shato poLi? ...huwaI..?Hasikwambie?

Unakiangusha chuo chetu jamaa, dah! Kama kweli unajipenda na kukipenda chuo chako, hariri hili andiko. Ninajua unaweza usione makosa, omba msaada. Kutokana na muktadha, hukupaswa kukosea hata herufi moja.
 
Umeniangusha hiki Kiswahili aisee. Kwa kiwango chako , na namna unajigamba hivi, hukupaswa kuwa mbovu hivi wa lugha. Shato poLi? ...huwaI..?Hasikwambie?

Unakiangusha chuo chetu jamaa, dah! Kama kweli unajipenda na kukipenda chuo chako, hariri hili andiko. Ninajua unaweza usione makosa, omba msaada. Kutokana na muktadha, hukupaswa kukosea hata herufi moja.
ulisoma nini UDSM ??
 
wewe unareflect maisha ya udsm 2007 bila shaka au nyuma kdg.

mti wa mdegri wa kivuli ungali upo hai? Au ulishakatwa!

Hiv Bush-mikopo-daruso!
Aliishia wapi?

Kuna kijamaa kimoja nilikuwa nakiona sana mabibo block D,
2005-08 hapo.
Siku hz nina kifananisha mtangazaji fulan wa TBC..jina limenitoka

Nyakati zimebadilika,
bila marticulation test hujapata admission.

2017 nilipita mazingira ya udsm.
wanachuo kikuu wa kileo pale udsm
ni vivulana vidogo vidogo sana na tudada vyao, halafu vinyonge!
 
Bush bwana, akaongoza mgomo wa boom, chuo wakamuangaliaaa, alipomaliza tu wakamchukua wakamuweka pale utawala ashughulikie mikopo, sasa nenda pale sijui jina lako hujaliona boom blah blah blah, anakujibu shit mpaka unataka kuzimia! Huwezi amini km ndo yeye aliyekuwa anateswa na mkopo mpaka kuwa kiongozi wa migomo!
 
Ila chuo kulikuwa na mambo mengi ya kujifunza nje ya masomo. Mfano kulikuwa na kaka mmoja anauza 'chupi' , akipita nje ya vyumba anaita pichu pichu. Kuna siku nikamuuliza hii kazi inakunufaisha? Akasema anasomesha wadogo zake kadhaa kwa biashara ya chupi na mambo madogo madogo hayampigi chenga! Alikuwa anavaa smart na begi lake la chupi km kabeba laptop kumbe anapiga business na inamuingizia. Heko kwake, anaambia wadada "nunueni chupi jamani , sio unavaa chupi imeisha, imechokaa, ukisimama mbele ya feni mjupi unapepea ", hahahaaaaa
 
Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.

Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.

Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.

Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajihita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.

Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.

Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.

Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla hakijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).

Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year).Hasikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .

Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.

Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato pori mwendo ws kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.

Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmojs usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.
Tuliosoma MUCE tunaweza kushikiri huu uzi ?
 
Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.

Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.

Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.

Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajihita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.

Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.

Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.

Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla hakijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).

Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year).Hasikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .

Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.

Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato pori mwendo ws kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.

Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmojs usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.
Kwa tuliosomea nje haya yote hatuna habari nayo.
 
Back
Top Bottom