Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Mimi baada ya kuchekecha nimeona hii kauli iliyo tolewa na bwana yule kule Bukoba baada ya watu kupata maafa ya tetemeko wakiomba msaada yeye akiwajibu kijeuri akisema hivi
"Kwani Mimi ndio nimeleta tetemeko " itatuwa kauli ya hovyo zaidi kuwahi kutolewa na kiongozi duniani na hata huko kuzimu.
Sijui wewe unaona kauli ipi inafaa kuwa ya hovyo zaidi ulizo wahi zisikia .
"Kwani Mimi ndio nimeleta tetemeko " itatuwa kauli ya hovyo zaidi kuwahi kutolewa na kiongozi duniani na hata huko kuzimu.
Sijui wewe unaona kauli ipi inafaa kuwa ya hovyo zaidi ulizo wahi zisikia .