William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,364
Whats wrong with you kwanini kila sentensi moja unacheka cheka?
- Sasa mkuu mnanikataza hata kucheka jamani, sasa vipi tena Demokrasia hii1 ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Willie @ NYC, USA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Whats wrong with you kwanini kila sentensi moja unacheka cheka?
Hilo cheko ameliset kwenye automatic mashine, yaani halikwepeki, ni sawa na signature ya Saigon is unavoidable!........Whats wrong with you kwanini kila sentensi moja unacheka cheka?
Hilo cheko ameliset kwenye automatic mashine, yaani halikwepeki, ni sawa na signature ya Saigon is unavoidable!........
haya bwana kama hata kumjua bingwa wa ubishi ni sifa kubwaTatizo lako wakati Saint Ivuga alipoitisha kura ya maoni ya watu wabishi hapa JF hujui nani alishinda, ungemjuwa aliyeshinda wala usingesumbuka.
- Lakini sasa mbona unajichojoa mwenyewe kuliko mimi! ha! ha! ha! ha! unasema uongozi wa wazalendo ni kukwepa kulipa kodi? na posho ya Shillingi Millioni 7.5 kwa mwezi ndio kuongoza wazalendo huko? haya mkuu nimekubali!
Willie @ NYC, USA.
Usitake kubadili mada hii si thread ya Slaa jana Dr umemkejeli hadi watu wakashindwa kukushangaa,- Wacha vitisho wewe humliki Tanzania, ni taifa la wananchi Millioni 45, wewe ni mtu mmoja tu kama kweli una huo uwezo kwa nini usimsaidie Dr. Slaa akawa Rais?
Willie @ NYC, USA.
- Unasema ni bora kukataliwa na viongozi kuliko wananchi wenyewe wenye taifa, sawa mkuu nimekusikia sana!
Willie @ NYC, USA.
- Jina langu na picha yangu na ninapoishi vipo wazi sana hapa , sasa hao wengine hawanihusu kabisaa nashangaa Mods wanakuruhusu kusema majina ya watu wasiohusika hapa maana hiyo ni crime hapa JF! Usiniingize kwenye majina na ID zisizonihusu, I hope Mods wataliona hilo na kulifanyia kazi
Willie @ NYC, USA
Usitake kubadili mada hii si thread ya Slaa jana Dr umemkejeli hadi watu wakashindwa kukushangaa,
topic hapa tuambie kama unapinga Malecela kuitwa muhuni na Nyerere ama una support na sababu zake,
maana baada ya kupokonywa tonge mdomoni ukoo wa Malecela utakuwa unausikia urais kwenye RTD tu kama inasikika NYK.
Bila shaka hata zile lugha za kuita watu Mbuzi MOD watalifanyia kazi!
Huwa kuna hiki kitufeUnaweza wasaidia MODs kufanya kazi yao
- Nimewafahamisha tayari, niliiitwa mbuzi nikajibu vile vile kwenye hilo sina compromise hakuna mwenye ruhusa ya kutukana wengine humu ni tabia ilianza kujengwa hapa ya kutukana wasiokubali mawazo flani ni tabia mbovu sana na haifai, JF sio uwanja wa matusi ni hoja! na members wote ni sawa hakuna ubaguzi, kutukana wengine ni dalili za upunguani tuzikatae wote kwa nguvu moja!
Willie @ NYC, USA.
Kukataliwa na viongozi wenzie inaonyesha ni jinsi asivyofaa hata kuwasogelea wananchi. Katika maisha "alichaguliwa" na wananchi wa Mtera tu, lakini nao baadae japokuwa walichelewa sana wakagundua kile ambacho viongozi wa CCM walikiona mapema.
- Jina langu na picha yangu na ninapoishi vipo wazi sana hapa , sasa hao wengine hawanihusu kabisaa nashangaa Mods wanakuruhusu kusema majina ya watu wasiohusika hapa maana hiyo ni crime hapa JF! Usiniingize kwenye majina na ID zisizonihusu, I hope Mods wataliona hilo na kulifanyia kazi
Willie @ NYC, USA
Kwa heshima na taadhima pamoja na unyenyekevu mkubwa, ninaomba kujiunga na forum hii na wananchi wote ndani ya huu uwanja. Mimi ni Mtanzania mwenzenu na ni mwananchi mzalendo pia, ninaomba kuja hapa tushirikiane kuliendeleza taifa letu kwa kutoa maoni na michango kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu changa.
- Jina langu ninaitwa William J. Malecela, anwani yangu pepe ni malecela(at)msn.com na namba yangu ya simu nyumbani ni 1-914-664-1518, na pia namba yangu ya mkononi ni 1-914-473-1033, ninamkaribisha mwananchi yoyote kuwasiliana na mimi wakati wowote ule.
Kwa hayo machache, naomba nimalize kwa kusema haba na haba hujaza kibaba, maendeleo ya taifa huletwa na mawazo ya kimaendeleo ya wananchi wa taifa lile bila ya kujali ukubwa au udogo wao kitaifa na huanzia popote pale hata hapa kwenye hii forums.
Ahsanteni sana ndugu zangu.
Wenu
William J. Malecela.
Kwa hiyo kwa kukiri kwako kwamba uliwaita watu mbuzi, tukuweke kwenye kundi la mapunguani? Ahsante kwa kukiri kwamba wewe ni punguani, no wonder majibu yako sound like one!
Unapomjadili Maelecela inakuwa ni conflict of interest unachotakiwa ni ku-declare kwanza kuwa Jumanne Melecela ni babako! then ndo ubwabwaje la sivyo ingekuwa bora watu neutral wamtetee on ur behalf! Sawa Agwe?- Sasa si wote ni raia tumjadili mbona unanizua na maneno mengi wewe mjadlili na mimi nipe haki kama mwananchi kumjadili, kama ninapomjadili Malecela kwako ninakuwa kama mlevi na wewe usiyekunywa unahangaika na kufungua mi-thread kila kona kunishambulia kwa sababu ya michango yangu, nafikiri inajisema wazi mlevi hasa ni nani kati yetu, au ninakosea?
- Otherwise una hoja nzito sana mkuuu kuliko wengine wengi!
Willie @ NYC, USA.
Unapomjadili Maelecela inakuwa ni conflict of interest unachotakiwa ni ku-declare kwanza kuwa Jumanne Melecela ni babako! then ndo ubwabwaje la sivyo ingekuwa bora watu neutral wamtetee on ur behalf! Sawa Agwe?