masharubu
Senior Member
- May 5, 2010
- 155
- 10
Wanajamvi leo tukumbuke timu zetu za mtaani jinsi zilivyoleta mchango mkubwa katika soka la nchi hii kwa kutoa wachezaji wa timu za madaraja ya juu na hata taifa mfano
1. Maumau - alitoka ally maumba
2. Super bomboka - hilal hemedi,hamdu hemedi 9marehem), baby sempoli
3. Ibadan - saidi jeck, bakari jeck, mohd mwameja, hassan jeck (marehem), saidi kolongo
4.walunguli - hassan juma (marehemu)
5. Dume- mchunga bakari (marehemu)
6. Mwanzange rangers- salimu waziri tupa
7. Cabodelgado - hussein mwakuruzo, ally mwakuruzo
8. Kimbangulile - ally samata, mbwana samata
9. Mogo - ally mustafa (bathez)
10.sigasiga - kassimu mwajeki
11. Dandee - duncan mwamba
haya nanyie wadau tupeni majina ya timu zaidi na wachezaji walizotoka
1. Maumau - alitoka ally maumba
2. Super bomboka - hilal hemedi,hamdu hemedi 9marehem), baby sempoli
3. Ibadan - saidi jeck, bakari jeck, mohd mwameja, hassan jeck (marehem), saidi kolongo
4.walunguli - hassan juma (marehemu)
5. Dume- mchunga bakari (marehemu)
6. Mwanzange rangers- salimu waziri tupa
7. Cabodelgado - hussein mwakuruzo, ally mwakuruzo
8. Kimbangulile - ally samata, mbwana samata
9. Mogo - ally mustafa (bathez)
10.sigasiga - kassimu mwajeki
11. Dandee - duncan mwamba
haya nanyie wadau tupeni majina ya timu zaidi na wachezaji walizotoka