Tukubaliane: Mpaka sasa wakosoaji wa rais Magufuli jukwaani wamepwaya

thetallest

JF-Expert Member
Oct 21, 2017
8,256
9,085
Tukubaliane kulikua na threads nyingi za kumkosoa Rais Magufuli, tena za mfululizo, kila aliejisikia alianzisha uzi ilimradi tu nae aonekane kaongea na wachangiaji baadhi lugha zao hazikua za staha hata kidogo.

Hata hivyo Rais Magufuli kaendelea kung'aa kila siku, kwa hatua mbalimbali anazochukua katika kutatua changamoto zinazowakabili wananchi, hili limejidhihilisha kwenye ziara zake za mikoa mbalimbali nchini inayoendelea, anapata sapoti kubwa sana mpaka kwa wabunge wa upinzani, ni dalili njema kwa kiongozi huyu, inaonyesha wananchi wanakubaliana nae, japo wapo wachache wasiokubaliana nae, ndo demokrasi hiyo lazima tutofautiane fikra na mitizamo.

Hivi sasa kunatofauti, ukiangalia kasi ya shutuma kwa Rais Magufuli, kabla ya maandamano haramu yalioshindwa vibaya ya Mange Kimambi, jukwaa lilisheheni karibu threads nyingi zenye lawama zisizo na msingi.

Nionavyo wameanza kulegea, kutokana na kasi ya rais na sapoti kubwa apatayo toka kwa wananchi,
naona mashambulizi yanatangatanga tu kwa sasa, mara Msigwa, mara Professor J muda si mrefu watapoteana na wataanza kuleta threads za kuvizia.

Kaza buti Rais Magufuli mahasimu wako pumzi imeanza kukata, wameanza kulimana wenyewe kwa wenyewe.
 
Tukubaliane kulikua na threads nyingi za kumkosoa rais Magufuli ,tena za mfululizo,kila aliejisikia alianzisha uzi ilimradi tu nae aonekane kaongea na wachangiaji baadhi lugha zao hazikua za staha hata kidogo..

Kwa mfano ile deal ya Boeing imejibu tatizo la kudhihaki "Bombadier" sijasikia tena zikisemwa.
 
Tukubaliane kulikua na threads nyingi za kumkosoa rais Magufuli ,tena za mfululizo,kila aliejisikia alianzisha uzi ilimradi tu nae aonekane kaongea na wachangiaji baadhi lugha zao hazikua za staha hata kidogo.

Hata hivyo rais Magufuli kaendelea kung'aa kila siku,kwa hatua mbalimbali anazochukua katika kutatua changamoto zinazowakabili wananchi,hili limejidhihilisha kwenye ziara zake za mikoa mbalimbali nchini inayoendelea,anapata sapoti kubwa sana mpaka kwa wabunge wa upinzani,ni dalili njema kwa kiongozi huyu,inaonyesha wananchi wanakubaliana nae,japo wapo wachache wasiokubaliana nae,ndo demokrasi hiyo,lazima tutofautiane fikra na mitizamo.
Hivi sasa ukiangalia kasi ya shutuma kwa rais Magufuli ,kabla ya maandamano haramu yalioshindwa vibaya ya Mange Kimambi, jukwaa lilisheheni karibu threads nyingi zenye lawama zisizo na msingi .

Nionavyo wameanza kulegea, kutokana na kasi ya rais na sapoti kubwa apatayo toka kwa wananchi,
Naona mashambulizi yatangatanga tu kwa sasa,mara Msigwa,mara professor J,du!muda si mrefu watapoteana na wataanza kuleta threads za kuvizia.

Kaza buti rais,mahasimu wako pumzi imeanza kukata,wameanza kulimana wenyewe kwa wenyewe.
Watanzania kwa umoja wetu tunaipenda Nchi yetu,ndio maana tunamkumbusha Rais wetu adumishe misingi ya umoja wa Taifa letu.Hatutaki kusikia Mtanzania akipotea,kuuwawa,siasa chafu kuwagawa wafu,ununuzi wa binadamu,ukanda,ukabila ,kejeli ,dhuluma NA HUJUMA mfano CUF.
 
Tukubaliane kulikua na threads nyingi za kumkosoa rais Magufuli ,tena za mfululizo,kila aliejisikia alianzisha uzi ilimradi tu nae aonekane kaongea na wachangiaji baadhi lugha zao hazikua za staha hata kidogo.

Hata hivyo rais Magufuli kaendelea kung'aa kila siku,kwa hatua mbalimbali anazochukua katika kutatua changamoto zinazowakabili wananchi,hili limejidhihilisha kwenye ziara zake za mikoa mbalimbali nchini inayoendelea,anapata sapoti kubwa sana mpaka kwa wabunge wa upinzani,ni dalili njema kwa kiongozi huyu,inaonyesha wananchi wanakubaliana nae,japo wapo wachache wasiokubaliana nae,ndo demokrasi hiyo,lazima tutofautiane fikra na mitizamo.
Hivi sasa ukiangalia kasi ya shutuma kwa rais Magufuli ,kabla ya maandamano haramu yalioshindwa vibaya ya Mange Kimambi, jukwaa lilisheheni karibu threads nyingi zenye lawama zisizo na msingi .

Nionavyo wameanza kulegea, kutokana na kasi ya rais na sapoti kubwa apatayo toka kwa wananchi,
Naona mashambulizi yatangatanga tu kwa sasa,mara Msigwa,mara professor J,du!muda si mrefu watapoteana na wataanza kuleta threads za kuvizia.

Kaza buti rais,mahasimu wako pumzi imeanza kukata,wameanza kulimana wenyewe kwa wenyewe.
Mwambie Rais aruhusu mikutano ya kisiasa aliyofungia kinyume na katiba, aruhusu bunge live na uhuru kamili wa kujieleza ambao upo kwa mujibu wa sheria za kimataifa ambazo sisi tumeridhia,
ARUHUSU HAYA ATAONA NI JINSI GANI AMECHOKWA NA ANAVYOPINGWA KULIKO RAIS YOYOTE TANGU TUPATE UHURU,
Kinyume na hapo hoja zako ni za kijinga na ni aibu kwa Taifa,
Ni ujinga kudhani watu wanakuunga mkono wakati wanatekwa kulazimishwa kumuunga mkono, TRA,UHAMIAJI NA FEDHA ZA WALIPA KODI zinatumika kulazimisha uungwaji mkono,
NDIVYO WANAVYOFANYA MADIKTETA WOTE, WATANZANIA WANAJUA KUWA KAMA TAIFA TUMETEKWA NA SOON TUTAKUWA HURU,
Rais anaziba watu midomo na kuzuia wanasiasa wenzake wasiongee huru kama yeye ila yeye ndo azunguke nchi nzima(kampeni ya kijanja) kwa kisingizio cha ufunguzi kisha anafikiri anapendwa!Huku ni kujidanganya
 
Watanzania kwa umoja wetu tunaipenda Nchi yetu,ndio maana tunamkumbusha Rais wetu adumishe misingi ya umoja wa Taifa letu.Hatutaki kusikia Mtanzania akipotea,kuuwawa,siasa chafu kuwagawa wafu,ununuzi wa binadamu,ukanda,ukabila ,kejeli ,dhuluma NA HUJUMA mfano CUF.
Hizi nyimbo zilikosa soko kitambo sana baada ya kujulikana dhumuni lake .
Lengo lilikua ni kumdhoofisha na kumuondolea imani kwa wananchi,imeshindikana
 
Mwambie Rais aruhusu mikutano ya kisiasa aliyofungia kinyume na katiba, aruhusu bunge live na uhuru kamili wa kujieleza ambao upo kwa mujibu wa sheria za kimataifa ambazo sisi tumeridhia,
ARUHUSU HAYA ATAONA NI JINSI GANI AMECHOKWA NA ANAVYOPINGWA KULIKO RAIS YOYOTE TANGU TUPATE UHURU,
Kinyume na hapo hoja zako ni za kijinga na ni aibu kwa Taifa
Bunge lipo live ,wabunge wanaihoji serikali na wananchi taarifa wanapata,labda wewe,mikutano isio na tija haina maana tufanye kazi kwa bidii,
 
Mwambie Rais aruhusu mikutano ya kisiasa aliyofungia kinyume na katiba, aruhusu bunge live na uhuru kamili wa kujieleza ambao upo kwa mujibu wa sheria za kimataifa ambazo sisi tumeridhia,
ARUHUSU HAYA ATAONA NI JINSI GANI AMECHOKWA NA ANAVYOPINGWA KULIKO RAIS YOYOTE TANGU TUPATE UHURU,
Kinyume na hapo hoja zako ni za kijinga na ni aibu kwa Taifa,
Ni ujinga kudhani watu wanakuunga mkono wakati wanatekwa kulazimishwa kumuunga mkono, TRA,UHAMIAJI NA FEDHA ZA WALIPA KODI zinatumika kulazimisha uungwaji mkono,
NDIVYO WANAVYOFANYA MADIKTETA WOTE, WATANZANIA WANAJUA KUWA KAMA TAIFA TUMETEKWA NA SOON TUTAKUWA HURU
Hapa hupingi?
 
Back
Top Bottom