Tukubali tusikubali, Magufuli anaibadilisha landscape ya Dar!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,316
24,183
Dar es salaam ndani ya miaka hii mitatu ya Magufuli imebadilika sana.

Ni kweli miradi mingine ilikuwa carry over toka Awamu ya Nne kama Mabasi na miundombinu ya mwendokasi, daraja la Kigamboni n.k.

Lakini tumeona upanuzi wa kufumba na kufumbua AH Mwinyi rd Morrocco~Mwenge, Flyover ya Mfugale, Interchange ya Ubungo.
Sasa Expressway ya Ubungo na tunarudi Selander II.
Sijasema ya SGR na Stiegler!

Tule nyasi, Magufuli baba ,Dar haitokuwa ile uliyoikuta.
Tumpe hongera na moyo wana Dar.
 
Dar es salaam ndani ya miakanhii mitatu ya Magufuli imebadilika sana.

Ninkweli miradi minginebilikuwabcarrybover toka Awamu ya Nne kama Mabasinna miundombinunya mwendokasi, daraja la Kigamboni n.k.

Lakini tumeonabupanuzibwankufumba na kufumbua AH Mwinyi rd Morrocco~Mwenge, Flyover ya Mfugale, Interchange ya Ubungo.
Sasa Expressway ya Ubungo na tunarudi Selander II.
Sijasema ya SGR na Stiegler!

Tule nyasi, Magufuli baba Dar haitokuwa ile uliyoikuta.
Ila mjomba unavyoandika sijui wangapi watavumilia huo mpangilio! Mimi nimeshindwa. Hongera jpm!!
 
Dar es salaam ndani ya miakanhii mitatu ya Magufuli imebadilika sana.

Ninkweli miradi minginebilikuwabcarrybover toka Awamu ya Nne kama Mabasinna miundombinunya mwendokasi, daraja la Kigamboni n.k.

Lakini tumeonabupanuzibwankufumba na kufumbua AH Mwinyi rd Morrocco~Mwenge, Flyover ya Mfugale, Interchange ya Ubungo.
Sasa Expressway ya Ubungo na tunarudi Selander II.
Sijasema ya SGR na Stiegler!

Tule nyasi, Magufuli baba Dar haitokuwa ile uliyoikuta.
Strigers iko Dar
 
Dar es salaam ndani ya miakanhii mitatu ya Magufuli imebadilika sana.

Ninkweli miradi minginebilikuwabcarrybover toka Awamu ya Nne kama Mabasinna miundombinunya mwendokasi, daraja la Kigamboni n.k.

Lakini tumeonabupanuzibwankufumba na kufumbua AH Mwinyi rd Morrocco~Mwenge, Flyover ya Mfugale, Interchange ya Ubungo.
Sasa Expressway ya Ubungo na tunarudi Selander II.
Sijasema ya SGR na Stiegler!

Tule nyasi, Magufuli baba Dar haitokuwa ile uliyoikuta.
Asante Jidu, kwenye mazuri tupongeze, kwenye ujenzi wa miundo mbinu, this man is doing wonders, shida ni kwenye democracy, human rights na good governance kazi bado ipo.
P
 
Kwahiyo maendeleo ya Dar ndo maendeleo ya Tanzania?

Afanye anavyofanya, ila historia ndiyo itamuhukumu. Lakini siyo vyema kuwadharau wakosoaji. Nao wana hoja zao za msingi. Wana maswali yenye kuhitaji majibu. Kiongozi siyo Mungu, ni binadamu mwenye akili kama binadamu wengine. Hivyo anaweza kukosea pia. Ya kutukuza tu hayafai. Ukweli useme.
 
Pongezi kwa Mh. Magufuli kwa kweli.

Ila sitokuwa tayari ku-surrender rasimali yeyote kwa mkopwa deni yeyote yule.

Dah ya Zambia yanatisha!!
 
Ni kweli kabisa Landscape ya Dar imebadilika in a cost of kubadilika kwa landscape ya maisha ya watanzania wooooteeee!!!

Hii ni miaka miaka mi 3 Sasa subiri mwaka wa nne .... !!!
 
Mipango ya kikwete hiyo yeye alichofanya ni manunuzi ya bidhaa za upinzani.
 
Back
Top Bottom