Tukubali tukatae, Vyama vya CCM na CHADEMA vimekuwa kama Democrats na Republican kwa nguvu

Kwa Tanzania ya Leo vyama vyenye nguvu kubwa ni viwili CCM na Chadema tu, hao waliobaki ni vyama vya kwenye makaratasi au kwenye ma flash Kama Lissu alivyosema.

CCM ni Chama ambacho kina resources nyingi yaani watu na pesa, kinaweza ku mobilize watu National wise, na kina wanachama wengi, na kimeingia mpaka ndanindani.

Chadema ni Chama kikubwa pia, hakina Ruzuku ata senti Mia, Ila wanafanya shughuri zao kwa uzuri, wanawanachama wengi, ni Chama pekee kilichofanikiwa kuorganize na ku success kusajiri wanachama wengi kwenye digital platform. Kinajenga ofisi karibu Tanzania nzima. Ndo maana watawala wanakisumbua na kusumbua viongozi wake.

CCM Wana kiburi Cha kuwa na Dora, Chadema Wana kiburi Cha kuwa na support kubwa ya wananchi, hapa kila mtu anajiona mkubwa.

Kama uchaguzi ukiwa huru na haki, bila kura kuibiwa tutashuhudia matokeo Kama ya marekani utakuta CCM 51% na Chadema 49% au kinyume chake.

Chadema na CCM nyie ndo giant political parties hao kina ADC, ACT, CHAUMA, TLP, Ni vyama vya makaratasi

So kwenye any political activity,kikikosekana chama kimojawapo Kati ya hivyo, hiyo activity itakuwa irrelevant na itakosa publicity
Vipi APPT-Maendeleo kiko kundi gani?
 
Kwa Tanzania ya Leo vyama vyenye nguvu kubwa ni viwili CCM na Chadema tu, hao waliobaki ni vyama vya kwenye makaratasi au kwenye ma flash Kama Lissu alivyosema.

CCM ni Chama ambacho kina resources nyingi yaani watu na pesa, kinaweza ku mobilize watu National wise, na kina wanachama wengi, na kimeingia mpaka ndanindani.

Chadema ni Chama kikubwa pia, hakina Ruzuku ata senti Mia, Ila wanafanya shughuri zao kwa uzuri, wanawanachama wengi, ni Chama pekee kilichofanikiwa kuorganize na ku success kusajiri wanachama wengi kwenye digital platform. Kinajenga ofisi karibu Tanzania nzima. Ndo maana watawala wanakisumbua na kusumbua viongozi wake.

CCM Wana kiburi Cha kuwa na Dora, Chadema Wana kiburi Cha kuwa na support kubwa ya wananchi, hapa kila mtu anajiona mkubwa.

Kama uchaguzi ukiwa huru na haki, bila kura kuibiwa tutashuhudia matokeo Kama ya marekani utakuta CCM 51% na Chadema 49% au kinyume chake.

Chadema na CCM nyie ndo giant political parties hao kina ADC, ACT, CHAUMA, TLP, Ni vyama vya makaratasi

So kwenye any political activity,kikikosekana chama kimojawapo Kati ya hivyo, hiyo activity itakuwa irrelevant na itakosa publicity
CCM haina watu tena kama unavyofikiri.. majority ya watanzania sasaiv ni vijana, wengi wakiwa wamezaliwa baada ya 1990 ambako mageuzi yalianza, hivyo wengi hawana mpango na CCM. Kama CCM wangekuwa na support hiyo ya watu kama unavyodhani wasingekuwa wanaogopa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na wala wasingepiga marufuku ya mikutano na kutegemea dola. Kama haki ikifuatwa sasaiv, CCM ni 35% tu...na tena ni vijijini, na tena kwenye mikoa inayoongoza kwa umasikini na ujinga
 
Cc
CCM haina watu tena kama unavyofikiri.. majority ya watanzania sasaiv ni vijana, wengi wakiwa wamezaliwa baada ya 1990 ambako mageuzi yalianza, hivyo wengi hawana mpango na CCM. Kama CCM wangekuwa na support hiyo ya watu kama unavyodhani wasingekuwa wanaogopa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na wala wasingepiga marufuku ya mikutano na kutegemea dola. Kama haki ikifuatwa sasaiv, CCM ni 35% tu...na tena ni vijijini, na tena kwenye mikoa inayoongoza kwa umasikini na ujinga
Kabisa mkuu
 
CCM unawapa sifa za bure tu. Lini Democrats na Republicans wakachapisha makaratasi ya kura ya kupigia nyumbani na kuingiza kwenye vituo vya kura kwa ulinzi wa polisi? Lini waliengua wagombea wa upinzani maelfu kwa maelfu? Lini walizuia mawakala wa vyama vingine kwenye vituo vya kupiga na kuhesabu kura? CCM ni kundi la wezi. Usiwalinganishe na watu walistaarabika hivyo.

2748433_IMG_20201028_173703 (1).jpg

Hawa ndo wanashindaga uchaguzi kwa kishindo!!!!wezi wakubwa!!
 
Kwa Tanzania ya Leo vyama vyenye nguvu kubwa ni viwili CCM na Chadema tu, hao waliobaki ni vyama vya kwenye makaratasi au kwenye ma flash Kama Lissu alivyosema.

CCM ni Chama ambacho kina resources nyingi yaani watu na pesa, kinaweza ku mobilize watu National wise, na kina wanachama wengi, na kimeingia mpaka ndanindani.

Chadema ni Chama kikubwa pia, hakina Ruzuku ata senti Mia, Ila wanafanya
shughuri zao kwa uzuri, wanawanachama wengi, ni Chama pekee kilichofanikiwa kuorganize na ku success kusajiri wanachama wengi kwenye digital platform. Kinajenga ofisi karibu Tanzania nzima. Ndo maana watawala wanakisumbua na kusumbua viongozi wake.

CCM Wana kiburi Cha kuwa na Dora, Chadema Wana kiburi Cha kuwa na support kubwa ya wananchi, hapa kila mtu anajiona mkubwa.

Kama uchaguzi ukiwa huru na haki, bila kura kuibiwa tutashuhudia matokeo Kama ya marekani utakuta CCM 51% na Chadema 49% au kinyume chake.

Chadema na CCM nyie ndo giant political parties hao kina ADC, ACT, CHAUMA, TLP, Ni vyama vya makaratasi

So kwenye any political activity,kikikosekana chama kimojawapo Kati ya hivyo, hiyo activity itakuwa irrelevant na itakosa publicity
Shughuli, Kusajili
 
Back
Top Bottom