Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,291
Hizi propaganda ni za muda mrefu sana hapa afrika, na imefikia hatua ya kutumiwa mpaka na kina Trump huko Marekani ila bahati nzuri haina msaada wowote kwa waanzishaji wa propaganda hizo maana watu wenye akili wanafahamu fika kuwa mfa maji haishi kutapa tapa, na huku kulalamika kuibiwa kura huku ukiwa hauna wanachama wa kukupigia kura kama tulivyoona kweny mikutano yao ndio kutapa tapa kwenyw.Kumbe nabishana na tikiti, kwa upuuzi,uchafu na ushenzi wa mwaka jana afu we unaona Ni sawa Basi unastahili kuwa Mirembe