Tukubali Nchi, Taifa na Serikali ni mali ya Rais Magufuli

DOMBWELA

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
757
842
Watu tunahitaji kulijua hilo kuwa kila kitu tumemwachia yeye atusaidie na ndio maana ya kura tuliyompatia kwa kujua au kwa kutojua, tulimwambia afanye kwa niaba yetu!.

Hivi unafiri yanayofanyika si matakwa, maelekezo yake, n.k. ni jambo gani linaweza likafanyika ndani ya nchi hii na Serikali hii ambalo si matakwa au maelekezo yake likafanyika?.

Tusione huu ukimya wa wazee wetu wastaafu Serikalini na kwenye chama cha mapinduzi wamekaa kimya, wanajua kuwa nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa viongozi wa vyama vya upinzani, nao wameanza kujua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa viongozi wetu wa dini, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa mawazi na wasaidizi wengine, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa wafanyabiasha wakubwa, wa kati na wadogo, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa wamachinga, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa NGOs, CBOs na FBOs nazo zinajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa Maprofesa, madakitari wa falisafa na wataalam wote, nao wanajua kuwa nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Hizi lawama tunazopeana si sawa kabisa, tunaoneana bure tu!. Tunapaswa kujua kuwa ni matakwa na maelekezo ya JPM ili mambo ya nchi hii na Serikali hii yaende.

Maana utasikia mtu anasema eti Mtendaji wa Kata au Mtendaji wa mtaa au Kijiji amekatalia fomu mgombea, unataka afanyeje zaidi ya kutii matakwa au maelekezo ili nchi iende?.

Utashangaa mtu eti anamlaumu MBUNGE eti ameshindwa kuisimamia na kuishauri Serikali. Wote wanatii matakwa na maelekezo ya JPM ili nchi iende.

Utashangaa mtu eti analaumu mhimili wa mahakama (majaji, mawakili, mahakimu) eti wamekaa kimya!, unataka wafanyeje zaidi ya kutii matakwa na maelekezo ya JPM ili nchi iende.

Kwa ufupi kwa sasa hivi hayupo ambaye anaweza kukaidi kutekeleza matakwa na maelekezo ya JPM yawe mazuri au mabaya kwa maslahi ya nchi yetu na Taifa letu, nasema hayupo, tumuache atusaidie nchi, Taifa na Serikalini yetu iende.

Tuliopo wote kwa sasa ni watiifu, waoga, wenyenjaa, tusiojitambua, n.k, ebu tumuache JPM atusaidie nchi, Taifa na Serikalini yetu iende.

Vinginevyo tuombe Mungu ashushe muujiza ili yatendeke matakwa na maelekezo ya Watanzania kwa nchi, Taifa na Serikali yao ili nchi iende.
 
Ni kweli hata JK tulimtukana na kumlaumu kwa madhaifu ya watendaji wake sababu tuliamini ye ndio injinia mkuu. Sema tumesahau tu baadhi yetu.
 
ingekuwa ni Akili ya magufuli peke yake pangine mtu anaweza kujipa matumaini kidogo, lakini kibaya zaidi magufuli hutumia Akili za makonda kuongoza Taifa hilo ndilo kosa kubwa analofanya sasa, watanzania hawamuamini kwa sababu ya kukumbatia Akili za makonda
 
Ni kweli hata JK tulimtukana na kumlaumu kwa madhaifu ya watendaji wake sababu tuliamini ye ndio injinia mkuu. Sema tumesahau tu baadhi yetu.
Hakuna binadamu aliye kamili kwa kila Jambo lakini ukikandamiza Demokrasia unakuwa na kasoro nyingi za kibinadamu kuliko kawaida hasa baada ya kung’anga’ania kutumia Akili za makonda kuongoza Taifa
 
Siku magufuli akizinduka akaacha kuwasikiliza washauri uchwara waliomzunguka akaamua kuwa mtenda Haki atakuwa Rais mzuri na wala hatatumia nguvu kubwa kusaka kura kwa ajili ya CCM.
 
Naanza tu nakutana "KULICHUJUA=Kulichukua
Unafili=unafikiri
Sijaendelea nitarud kuendelea.. Ila pole kwa uchovu mkuu unaonekana ulipokua unaandka maada ulikua umechoka sana
 
Uongozi unao misingi yake na katika nchi inayothamini demokrasia ya kweli, mtu anayetaka nafasi kubwa ya uongozi hupimwa kwa vigezo muhimu vinavyotokana na hiyo misingi ya uongozi.

Tatizo linaloweza kutokea katika hizi nchi zetu changa ambapo uongozi wa kisiasa ni ajira na nafasi ya upendeleo ya kufaidi mema ya nchi ni pale tunapojishughulisha zaidi na kushinda uchaguzi kuliko kupata uongozi wa kisiasa mzuri.

Mara nyingi kiongozi wa kisiasa mzuri siyo yule anayefahamika sana kwenye duru za kisiasa. Kwa kawaida wale wanaofahamika zaidi ni "opportunists" tu.

Bila shaka kama taifà tunaendelea kujifunza na matumaini yetu kama raia ni kwambà hayo tunayojifunza yatatumika kuimarisha taasisi zetu za Uongozi, siasa, utawala na kijamii (civil society).

Moja tunalopaswa kujifunza ni umuhimu wa kutenganisha vizuri zaidi uongozi wa chama cha siasa na ule wa serikali.
 
Kwa akili hizi umasikini hautokuacha mbali. Kama una watoto somesha au mpe mwingine awalee usiwaambukize huu uharo.
 
Watu tunahitaji kulichujua hilo kuwa kila kitu tumemwachia yeye atusaidie na ndio maana ya kura tuliyompatia kwa kujua au kwa kutojua, tulimwambia afanye kwa niaba yetu!.

Hivi unafili yanayofanyika si matakwa, maelekezo yake, n.k. ni jambo gani linaweza likafanyika ndani ya nchi hii na Serikali hii ambalo si matakwa au maelekezo yake likafanyika?.

Tusione huu ukimya wa wazee wetu wastaafu Serikalini na kwenye chama cha mapinduzi wamekaa kimya, wanajua kuwa nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa viongozi wa vyama vya upinzani, nao wameanza kujua kuwa hii nchi, Taifa na Serikalini yake ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa viongozi wetu wa dini, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikalini yake ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa mawazi na wasaidizi wengine, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikalini yake ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa wafanyabiasha wakubwa, wa kati na wadogo, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikalini yake ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa wamachinga, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikalini yake ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa NGOs, CBOs na FBOs nazo zinajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikalini yake ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa Maprofesa, madakitari wa falisafa na wataalam wote, nao wanajua kuwa nchi, Taifa na Serikalini yake ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Hizi lawama tunazopeana si sawa kabisa, tunaoneana bure tu!. Tunapaswa kujua kuwa ni matakwa na maelekezo ya JPM ili mambo ya nchi hii na Serikali hii yaende.

Maana utasikia mtu anasema eti Mtendaji wa Kata au Mtendaji wa mtaa au Kijiji amekatalia fomu mgombea, unataka afanyeje zaidi ya kutii matakwa au maelekezo ili nchi iende?.

Utashangaa mtu eti anamlaumu MBUNGE eti ameshindwa kuisimamia na kuishauri Serikali. Wote wanatii matakwa na maelekezo ya JPM ili nchi iende.

Utashangaa mtu eti analaumu mhimili wa mahakama (majaji, mawakili, mahakimu) eti wamekaa kimya!, unataka wafanyeje zaidi ya kutii matakwa na maelekezo ya JPM ili nchi iende.

Kwa ufupi kwa sasa hivi hayupo ambaye anaweza kukaidi kutekeleza matakwa na maelekezo ya JPM yawe mazuri au mabaya kwa maslahi ya nchi yetu na Taifa letu, nasema hayupo, tumuache atusaidie nchi, Taifa na Serikalini yetu iende.

Tuliopo wote kwa sasa ni watiifu, waoga, wenyenjaa, tusiojitambua, n.k, ebu tumuache JPM atusaidie nchi, Taifa na Serikalini yetu iende.

Vinginevyo tuombe Mungu ashushe muujiza ili yatendeke matakwa na maelekezo ya Watanzania kwa nchi, Taifa na Serikali yao ili nchi iende.
 
Watu tunahitaji kulijua hilo kuwa kila kitu tumemwachia yeye atusaidie na ndio maana ya kura tuliyompatia kwa kujua au kwa kutojua, tulimwambia afanye kwa niaba yetu!.

Hivi unafiri yanayofanyika si matakwa, maelekezo yake, n.k. ni jambo gani linaweza likafanyika ndani ya nchi hii na Serikali hii ambalo si matakwa au maelekezo yake likafanyika?.

Tusione huu ukimya wa wazee wetu wastaafu Serikalini na kwenye chama cha mapinduzi wamekaa kimya, wanajua kuwa nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa viongozi wa vyama vya upinzani, nao wameanza kujua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa viongozi wetu wa dini, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa mawazi na wasaidizi wengine, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa wafanyabiasha wakubwa, wa kati na wadogo, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa wamachinga, nao wanajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa NGOs, CBOs na FBOs nazo zinajua kuwa hii nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Tusione huu ukimya wa Maprofesa, madakitari wa falisafa na wataalam wote, nao wanajua kuwa nchi, Taifa na Serikali hii ni mali ya JPM kwa sasa, tumuache atusaidie kuiongoza nchi hii.

Hizi lawama tunazopeana si sawa kabisa, tunaoneana bure tu!. Tunapaswa kujua kuwa ni matakwa na maelekezo ya JPM ili mambo ya nchi hii na Serikali hii yaende.

Maana utasikia mtu anasema eti Mtendaji wa Kata au Mtendaji wa mtaa au Kijiji amekatalia fomu mgombea, unataka afanyeje zaidi ya kutii matakwa au maelekezo ili nchi iende?.

Utashangaa mtu eti anamlaumu MBUNGE eti ameshindwa kuisimamia na kuishauri Serikali. Wote wanatii matakwa na maelekezo ya JPM ili nchi iende.

Utashangaa mtu eti analaumu mhimili wa mahakama (majaji, mawakili, mahakimu) eti wamekaa kimya!, unataka wafanyeje zaidi ya kutii matakwa na maelekezo ya JPM ili nchi iende.

Kwa ufupi kwa sasa hivi hayupo ambaye anaweza kukaidi kutekeleza matakwa na maelekezo ya JPM yawe mazuri au mabaya kwa maslahi ya nchi yetu na Taifa letu, nasema hayupo, tumuache atusaidie nchi, Taifa na Serikalini yetu iende.

Tuliopo wote kwa sasa ni watiifu, waoga, wenyenjaa, tusiojitambua, n.k, ebu tumuache JPM atusaidie nchi, Taifa na Serikalini yetu iende.

Vinginevyo tuombe Mungu ashushe muujiza ili yatendeke matakwa na maelekezo ya Watanzania kwa nchi, Taifa na Serikali yao ili nchi iende.
Kama kuna wastaafu waliokaa kimya basi ni mzee Mwinyi naye sababu zake ziko waziri, msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Uongozi unao misingi yake na katika nchi inayothamini demokrasia ya kweli, mtu anayetaka nafasi kubwa ya uongozi hupimwa kwa vigezo muhimu vinavyotokana na hiyo misingi ya uongozi. Tatizo linaloweza kutokea katika hizi nchi zetu changa ambapo uongozi wa kisiasa ni ajira na nafasi ya upendeleo ya kufaidi mema ya nchi ni pale tunapojishughulisha zaidi na kushinda uchaguzi kuliko kupata uongozi wa kisiasa mzuri. Mara nyingi kiongozi wa kisiasa mzuri siyo yule anayefahamika sana kwenye duru za kisiasa. Kwa kawaida wale wanaofahamika zaidi ni "opportunists" tu. Bila shaka kama taifà tunaendelea kujifunza na matumaini yetu kama raia ni kwambà hayo tunayojifunza yatatumika kuimarisha taasisi zetu za Uongozi, siasa, utawala na kijamii (civil society). Moja tunalopaswa kujifunza ni umuhimu wa kutenganisha vizuri zaidi uongozi wa chama cha siasa na ule wa serikali.
Tanzania si nchi changa, nchi nyingi zilizokuwa nyuma yetu kiuchumi zimetupita kisa tumechanganya siasa na kazi! Kenya wanapofanya siasa kila watu kivyao na uadui wao lakini wanapokuja kwenye kazi wote wanakuwa pamoja ndiyo sababu uchumi wao umetupita japo tulikuwa pamoja kwa kila kitu. China miaka ya sitini tulikuwa tunawacheka leo China si wenzetu, wao wanajenga nchi kwa pamoja, sisi ni balaa tupu CCM inataka ijenge nchi peke yake jambo ambalo halitawezekana milele.
 
Back
Top Bottom