mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
wana jf,
Wasafiri wote wanaotumia mwendo kasi shida ya kukosa usafiri imezidi kipimo, unakaa kituoni saa nzima. Tunajua wanaohumia ni wale wanaooitwa wanyonge, kila siku kilio cha mwendo kasi hakitatuliwi, basi kama serikali imeshindwa iturudishie daladala zetu mpaka apo watakapokuwa tayari lakini si kwa mateso haya. Mwanzoni tulifurahi sana ujio wa hii huduma sasa ni mateso sana,
kama kuna waziri mwenye zamana apeleke bungeni mabadiliko ya dharula kwa kuomba kurudisha njia za dala dala kwa muda mapa uwatakapokuwa wameleta mabasi ya kutosha.
Wasafiri wote wanaotumia mwendo kasi shida ya kukosa usafiri imezidi kipimo, unakaa kituoni saa nzima. Tunajua wanaohumia ni wale wanaooitwa wanyonge, kila siku kilio cha mwendo kasi hakitatuliwi, basi kama serikali imeshindwa iturudishie daladala zetu mpaka apo watakapokuwa tayari lakini si kwa mateso haya. Mwanzoni tulifurahi sana ujio wa hii huduma sasa ni mateso sana,
kama kuna waziri mwenye zamana apeleke bungeni mabadiliko ya dharula kwa kuomba kurudisha njia za dala dala kwa muda mapa uwatakapokuwa wameleta mabasi ya kutosha.