mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Mwaka huu 2022/23 ni timu sita tu ndizo zitakazoanzia raundi ya kwanza kwenye mashindano ya CAF champions league. Timu hizo ni: 1. Al Ahly(misri) 2. TP Mazembe(DRC) 3. WAC(Morocco) 4. Raja(Morocco) 5. Mamelodi Sundowns(south africa) 6. EST(Tunisia).
Hizo zilizowekewa rangi za kijani ndio zinaingia raundi ya kwanza moja kwa moja.
Ila tunashukuru kuwa mchango wa simba kuingizia pointi nyingi nchi yetu umeweza kusaidia AZAM kuanzia raundi ya kwanza michuano ya shirikisho-Confederation Cup!!
Bila shaka wananchi wamefurahi sana, japo watatolewa asubuhi kwenye michuano ya awali!!
NB: Jedwali la upande wa kulia ni la kombe la shirikisho na lile jedwali la upande wa kushoto ni michuano ya kombe la mabingwa!! Povu ruksa!!!
Ila tunashukuru kuwa mchango wa simba kuingizia pointi nyingi nchi yetu umeweza kusaidia AZAM kuanzia raundi ya kwanza michuano ya shirikisho-Confederation Cup!!
Bila shaka wananchi wamefurahi sana, japo watatolewa asubuhi kwenye michuano ya awali!!
NB: Jedwali la upande wa kulia ni la kombe la shirikisho na lile jedwali la upande wa kushoto ni michuano ya kombe la mabingwa!! Povu ruksa!!!