Tukubali kuwajibika sote

Rahimu Kiiza

Member
May 29, 2017
25
22
Ndugu zangu wapendwa tupo katika wakati mgumu kimaisha japo nasema hivo kwa walio wengi wako hivo inakuaje linapokuw alimetokea tatizo tunawahi kulaum na kuja juu kwa bila kutafakari mfano.

Timu ya taifa ikifungwa utasikia Waziri awajibike, hivi kweli jamani nimeona mtu mmoja anasema waziri wa mambo ya ndani awajibike kwa mauaji ya Kibiti sikatai ila tuangalie chanzo.
Na kwanini serikali haitoi taarifa zilizo kamili kwa suala la Kibiti?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom