Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Mmh jamani kama si hizi kazi wengine ndio tunasoma magazeti mida hii naona kijana nnape
anazidi kuwaka na ari yake naamini mwisho atarudi chadema..kijana nimempenda alipowambia waandiishi aturudi nyuma
tuko radhi kupoteza jimbo lakini atuitaji kukaa na watu wachafu hata biblia inasema jicho moja likikupeleka motoni
ufanyaje so kwa hili naawambia kama si kuwa na tofauti na baadhi ya watu majibu yangetoka leo hii lakini wameombwa
mpaka septrmber...ila si mbali tuvumiliane tu kwa hili..kuna uchafu mwingi tu tukishamaliza wale mapapa tunanzaa
na pelege/kambare na uhakika wale wote waliowekwa na hao mapapa awatabaki tunaitaji chama bora na sio bora chama
duh nilikuwa wapi sikusoma toka asbh
kijana kama uko makini mungu akusaidie usiwe kama chris mtikila
anazidi kuwaka na ari yake naamini mwisho atarudi chadema..kijana nimempenda alipowambia waandiishi aturudi nyuma
tuko radhi kupoteza jimbo lakini atuitaji kukaa na watu wachafu hata biblia inasema jicho moja likikupeleka motoni
ufanyaje so kwa hili naawambia kama si kuwa na tofauti na baadhi ya watu majibu yangetoka leo hii lakini wameombwa
mpaka septrmber...ila si mbali tuvumiliane tu kwa hili..kuna uchafu mwingi tu tukishamaliza wale mapapa tunanzaa
na pelege/kambare na uhakika wale wote waliowekwa na hao mapapa awatabaki tunaitaji chama bora na sio bora chama
duh nilikuwa wapi sikusoma toka asbh
kijana kama uko makini mungu akusaidie usiwe kama chris mtikila