Tukiwaudhi wamarekani wakatizimia androids, windows zao, GPS, iMac Serikali isomeshe engineers wa teknolojia iachane na arts zama hizi

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,526
Nawaza tu, computer za ofisi zote nchi nzima tunatumia computer operating system za wamerekani.. smart phone zote hivyo hivyo.

Yaani sisi hata tooth pick hatuwezi tengeneza.

Tukiwauzi wanatumaliza dakika tu. Wanazima dream liner zinakuwa makopo... wanazima windows zao na Mac.

Wanazima gps.

Nawaza tu ofisini tutakavyorudi zama za manual files.. typist sijui nini...

Dawa tu tunategemea kwao..

Hata hizo coca na pepsi na formula zao ..

Hawa jamaa hawakuja africa kumkoloni mtu zama za ukoloni... ila wanatukoloni wafrica kwa akili tu.

Hizo havard , yale na stanford zao zimewasaidia kweli...sio sisi udsm imetuletea wapuuuzi kibao..

Zama hizi unamsomesha mtu degree ya sanaa na unampa mkopo na huku uwezi kumwajiri.. na hawezi isaidia nchi chochote. Serikali ifute sanaa na masomo ya kipuuzi toka msingi... tusome science tu nchi nzima wanafunzi wote . Kisha mbele mbele tugawanyike fani muhimu tu zinazosaidia nchi kwenye hali tete kama hizi za vikwazo

Nawaza tu professa wa jalalani atavyotoa macho atakapoona computer yake haiwaki ghafla asome emails.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hili kiongozi umenena! Nitakujia na mada ya kusupport uzi wako kesho! Kiufupi hawa mabeberu wametukifu hadi maji shingoni na hata wakilazimisha chochote wanachotaka lazima tutii! Hapo ndo maana nchi kama Iran, China na North Korea ziliamua kuachana na ushenzi wa mabeberu! USA is the axis of evil
 
Hoja yako ni nzuri lakini inayo madhaifu mengi. Mojawapo ni kutaka kuhamasisha sayansi wakati huo huo sayansi yenyewe ni historia ya sayansi.

Ili ujue kuwa kuna ukweli juu ya hili ninalosema waambie hao wahadhiri wa sayansi kwenye vyuo wagundue formula, principle, au application yoyote ndio utuaminishe kuwa hao wanasayansi watakaofundishwa watakuwa ni product yenye impact kwa kudeliver mambo yenye faida kwenye jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Bora tungesoma kwa kiswahili toka vidudu mpaka phd. Tatizo kingereza. Dunia nzima nchi zilizoendelea wanasoma kwa lugha zao.
 
Nawaza tu.. computer za ofisi zote nchi nzima tunatumia computer operating system za wamerekani.. smart phone zote hivyo hivyo...

Yaani sisi hata tooth pick hatuwezi tengeneza..

Tukiwauzi wanatumaliza dakika tu.

Wanazima dream liner zinakuwa makopo... wanazima windows zao na mac..

Wanazima gps..

Nawaza tu ofisini tutakavyorudi zama za manual files.. typist sijui nini...

Dawa tu tunategemea kwao..

Hata hizo coca na pepsi na formula zao ..

Hawa jamaa hawakuja africa kumkoloni mtu zama za ukoloni... ila wanatukoloni wafrica kwa akili tu.


Hizo havard , yale na stanford zao zimewasaidia kweli...sio sisi udsm imetuletea wapuuuzi kibao..

Zama hizi unamsomesha mtu degree ya sanaa na unampa mkopo na huku uwezi kumwajiri.. na hawezi isaidia nchi chochote.... serikali ifute sanaa na masomo ya kipuuzi toka msingi... tusome science tu nchi nzima wanafunzi wote . Kisha mbele mbele tugawanyike fani muhimu tu zinazosaidia nchi kwenye hali tete kama hizi za vikwazo

Nawaza tu professa wa jalalani atavyotoa macho atakapoona computer yake haiwaki ghafla asome emails...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama unaota
Huko Iran, Russia, ... kwenyewe wanatumia windows, android, iOS
 
Science ndio msingi wa maendeleo ya dunia.. wanasayansi ndio waliofanya hata jamiiforums hii iwepo na leo hii tunabishana humu.. hata max na mike nao wamesoma science kisha DIT
Hoja yako ni nzuri lakini inayo madhaifu mengi.
Mojawapo ni kutaka kuhamasisha sayansi wakati huo huo sayansi yenyewe ni historia ya sayansi.
Ili ujue kuwa kuna ukweli juu ya hili ninalosema waambie hao wahadhiri wa sayansi kwenye vyuo wagundue formula, principle, au application yoyote ndio utuaminishe kuwa hao wanasayansi watakaofundishwa watakuwa ni product yenye impact kwa kudeliver mambo yenye faida kwenye jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran wana system zao.. use google... russia hawana vikwazo vyovyote ila nao wanatumia operating system zao computer zote za serikali.. na hata ndege hawanunui usa wanatengeneza wenyewe... russia dawa hawategemei msaada wanatengeneza wenyewe..

Wewe ndie unaota unafananisha Iran na Russia na Tanzania.. je tupo sawa nao hao..

Sisi hata toothpick tunaagiza nje
Ni kama unaota
Huko Iran, Russia, ... kwenyewe wanatumia windows, android, iOS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran wana system zao.. use google... russia hawana vikwazo vyovyote ila nao wanatumia operating system zao computer zote za serikali.. na hata ndege hawanunui usa wanatengeneza wenyewe... russia dawa hawategemei msaada wanatengeneza wenyewe..

Wewe ndie unaota unafananisha Iran na Russia na Tanzania.. je tupo sawa nao hao..

Sisi hata toothpick tunaagiza nje

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie OS ya computer na simu inayotumika Iran
 

Attachments

  • IMG_20200201_220558.jpg
    IMG_20200201_220558.jpg
    30 KB · Views: 1
Nawaza tu.. computer za ofisi zote nchi nzima tunatumia computer operating system za wamerekani.. smart phone zote hivyo hivyo...

Yaani sisi hata tooth pick hatuwezi tengeneza..

Tukiwauzi wanatumaliza dakika tu.

Wanazima dream liner zinakuwa makopo... wanazima windows zao na mac..

Wanazima gps..

Nawaza tu ofisini tutakavyorudi zama za manual files.. typist sijui nini...

Dawa tu tunategemea kwao..

Hata hizo coca na pepsi na formula zao ..

Hawa jamaa hawakuja africa kumkoloni mtu zama za ukoloni... ila wanatukoloni wafrica kwa akili tu.


Hizo havard , yale na stanford zao zimewasaidia kweli...sio sisi udsm imetuletea wapuuuzi kibao..

Zama hizi unamsomesha mtu degree ya sanaa na unampa mkopo na huku uwezi kumwajiri.. na hawezi isaidia nchi chochote.... serikali ifute sanaa na masomo ya kipuuzi toka msingi... tusome science tu nchi nzima wanafunzi wote . Kisha mbele mbele tugawanyike fani muhimu tu zinazosaidia nchi kwenye hali tete kama hizi za vikwazo

Nawaza tu professa wa jalalani atavyotoa macho atakapoona computer yake haiwaki ghafla asome emails...

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uoga wa maisha wew...wachina wapo na warusi wapo. Hivi wachina hawatengenezi ndege kweli
 
Back
Top Bottom