sipii
Member
- Apr 26, 2017
- 53
- 161
Wapo viongozi wanaoonekana ndio machachari mfano G.Lema ,na pind tkiwapa nchi ndio wanatarajiwa kushika nafasi za juu ikiwemo uwaziri nk,wanaonyesha kulialia na kushauri nchi kuomba msaada kwenye mambo nyeti na ambayo yapo ndani ya uwezo wa nchi au vyombo vyake,siku wakipewa nchi hawa ,nchi wataipeleka vile wanavyotuahidi wakiwa kwenye majukwaa?