Tukiwa tunawaambia kuwa Watu wa Mkoa wa Mara (Musoma) huwa hatuna Masihara katika kutoa Maamuzi ya Kiume na ya mwisho muwe Mnatuelewa sawa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
60,178
119,971
Ally Zedi Rajabu mtia nia wa nafasi ya uenyekiti wa mtaa wa Kitaji, Manispaa ya Musoma mkoani Mara amehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya kushindwa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa madai ya mgombea mwenza kutumia rushwa na majina ya watu wanaodaiwa kufa kuchaguliwa kuwa mgombea wa nafasi hiyo.

Chanzo: ITV Habari

Na ndiyo maana ukitaka tu kutafuta Wanamume wa Shoka Tanzania nzima ni Mkoani Mara tu ndiko utawapata 100%
 
Ally Zedi Rajabu mtia nia wa nafasi ya uenyekiti wa mtaa wa Kitaji, Manispaa ya Musoma mkoani Mara amehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya kushindwa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa madai ya mgombea mwenza kutumia rushwa na majina ya watu wanaodaiwa kufa kuchaguliwa kuwa mgombea wa nafasi hiyo.

Chanzo: ITV Habari

Na ndiyo maana ukitaka tu kutafuta Wanamume wa Shoka Tanzania nzima ni Mkoani Mara tu ndiko utawapata 100%
Mimi nikajua kaua mtu kumbe kakimbia chama, sasa toka lini mkimbia matatizo akawa mwanaume? huyo ni pimbi tuu
 
Back
Top Bottom