GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,862
Acheni Kudharau Maoni yetu hapa Jamvini tukiwa tunawashaurini. Nilishawahi Kuandika hapa hapa kuwa hizi Ratiba nyingi na za Mfululizo Kwake si nzuri Kiafya na kama ikiwezekana basi zingine wawe wanapewa Wawili Wakuu wanaomfuata lakini nakumbuka nilipokea Majibu ya Dhihaka hapa, Matusi na hadi Kuambiwa Mimi ni nani wa Kuwashauri.
Kuna wengine mnaweza mkatudharau au mkawadharau lakini kumbe Mwenyezi Mungu huwa kuna Shani ( Tunu ) fulani hivi ya Kipekee anakuwa amewapa na mpaka mnaona wengine wanajipa Majina ya Ndege Tai hapa Jamvini basi itoshe tu kujua kuwa huwa wana Maono makali na ya mbali hasa kiasi kwamba wakiwa wanatoa Mawazo yao au Ushauri wao au Mitazamo yao jitahidini muwe mnaizingatia.
Hakuna Mtu anayefanya Ziara Siku 9 hadi 11 tena za mfululizo huku akianzia Asubuhi, Mchana, Jioni na hata Usiku halafu hapo hapo muda wake nao wa Kupumzika unakuwa ni mdogo na hata akipumzika huo Usiku bado tena ama anaomba Mafaili au mnamtupia Mafaili ili ayapitie kisha mtegemee atakuwa vyema Kiafya.
Namalizia kwa Kusisitiza tena kuwa acheni Kudharau na Kupuuza Maoni ya wana JamiiForums. Ewe Bwana Mwenyezi Mungu namuweka mikononi mwako Mtumishi wako Yohana mwana wa Maabara ya Kikemikali, muwekee Mikono yako ya Baraka, apate nafuu na Damu ya Mwanao Yesu Kristo ikapate Kutenda Juu yake, Umuondolee Roho ya Umauti, Umjaze Pumzi ya Kudumu Maishani na tuepushe wana wako wa Tanzania na Breaking News yoyote iliyo ya Masikitiko Kwetu Amen.
Wale mliokuwa mkinidhihaki mwanzo nilipotoa ANGALIZO langu kwa nia Njema tu ( hasa baada ya Kuiona Kimaono HATARI fulani ya Kiafya kutokana na Uwingi wa Ratiba zake ) na leo mnaweza mkanidhaki tena mkipenda. Nilisikitika na huwa nasikitika sana tu pale nikiona Binadamu Mmoja tena mwenye Umuhimu ndani ya Taifa lake anapangiwa Ratiba utadhani yuko katika Mafunzo ya Kijeshi wakati kumbe hizo Ratiba zinamuathiri Kiafya na matokeo yake sasa ndiyo haya ya kuwaweka Watu Roho juu juu badala ya Kutuacha tushangilie Matokeo ya Timu yetu ya Mpira wa Miguu ya Taifa Stars kwa Kufuzu Michuano ya CHAN mwaka 2020 ( Mwakani ) huko nchini Cameroon.
Kuna wengine mnaweza mkatudharau au mkawadharau lakini kumbe Mwenyezi Mungu huwa kuna Shani ( Tunu ) fulani hivi ya Kipekee anakuwa amewapa na mpaka mnaona wengine wanajipa Majina ya Ndege Tai hapa Jamvini basi itoshe tu kujua kuwa huwa wana Maono makali na ya mbali hasa kiasi kwamba wakiwa wanatoa Mawazo yao au Ushauri wao au Mitazamo yao jitahidini muwe mnaizingatia.
Hakuna Mtu anayefanya Ziara Siku 9 hadi 11 tena za mfululizo huku akianzia Asubuhi, Mchana, Jioni na hata Usiku halafu hapo hapo muda wake nao wa Kupumzika unakuwa ni mdogo na hata akipumzika huo Usiku bado tena ama anaomba Mafaili au mnamtupia Mafaili ili ayapitie kisha mtegemee atakuwa vyema Kiafya.
Namalizia kwa Kusisitiza tena kuwa acheni Kudharau na Kupuuza Maoni ya wana JamiiForums. Ewe Bwana Mwenyezi Mungu namuweka mikononi mwako Mtumishi wako Yohana mwana wa Maabara ya Kikemikali, muwekee Mikono yako ya Baraka, apate nafuu na Damu ya Mwanao Yesu Kristo ikapate Kutenda Juu yake, Umuondolee Roho ya Umauti, Umjaze Pumzi ya Kudumu Maishani na tuepushe wana wako wa Tanzania na Breaking News yoyote iliyo ya Masikitiko Kwetu Amen.
Wale mliokuwa mkinidhihaki mwanzo nilipotoa ANGALIZO langu kwa nia Njema tu ( hasa baada ya Kuiona Kimaono HATARI fulani ya Kiafya kutokana na Uwingi wa Ratiba zake ) na leo mnaweza mkanidhaki tena mkipenda. Nilisikitika na huwa nasikitika sana tu pale nikiona Binadamu Mmoja tena mwenye Umuhimu ndani ya Taifa lake anapangiwa Ratiba utadhani yuko katika Mafunzo ya Kijeshi wakati kumbe hizo Ratiba zinamuathiri Kiafya na matokeo yake sasa ndiyo haya ya kuwaweka Watu Roho juu juu badala ya Kutuacha tushangilie Matokeo ya Timu yetu ya Mpira wa Miguu ya Taifa Stars kwa Kufuzu Michuano ya CHAN mwaka 2020 ( Mwakani ) huko nchini Cameroon.