AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,283
- 4,018
Hilo ni kitabu Muongozo chenu kinase a hivyo. Wewe unakataaje.Wewe ndio hujawahi. Huna haya mtu mzima unaropoka vitu huna hakika. Unashuhudia uongo kabisa. Leta evidence. page, yani watanzania bana , unakuta mtu anajifanya anajua jambo na analishupalia utadhani kweli. Kumbe anaishi kwa chuki tu. Catechism ungejua maana yake wewe wala usingeandika huo utopolo maana unatia aibu. Jaribu kujiridhisha au fanya research usikubali kujazwa conspiracy theories. Do some research juu ya kanisa. Ata mimi kabla sijawa mkatoliki nilikuwa na dhana nyingi sana potofu, ila nikaamua kwenda chimbo na sikurudi tena nyuma.