Tukiwa shule tulidanganywa kuhusu mihimili ya dola?

Kwenye katiba mpya bunge lifutwe. Kama sheria zote tumeshatunga, wabunge wana kazi gani zaidi ya kuvuana balagashia? Kazi za wabunge zilizobaki zifanywe na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
 
Kwenye katiba mpya bunge lifutwe. Kama sheria zote tumeshatunga, wabunge wana kazi gani zaidi ya kuvuana balagashia? Kazi za wabunge zilizobaki zifanywe na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
utakuwa kjna wa lumumba. nadhani unatamani kusingekuwa na katiba. ila ungekuwa unajua umuhimu wa bunge usingeongea ivo
 
Shuleni hamkudanganywa, ndo ukweli huo. Nakushangaa! Tumia jicho lililoko kwenye kichwa chako, utauona ukweli mlofundishwa. Kwa jicho la mbali utaona maruweruwe daima. Jicho la mbali hutumiwa na wapiga ramli kuwatapeli watu. Achana nalo.
 
Shuleni tulifundishwa kuna mihimili mitatu Serikali, Mahakama na Bunge. Kwa jicho la mbali naona kama kuna Serikali, Serikali na Serikali

Shule tulifundishwa pia kuthibitisha jambo tunaloongea kwa kutoa uthibitisho usiokuwa na mashaka kisheria nk Hebu weka uthibitisho ambao hata ukiburuzwa mahakamani waweza utumia kushinda kesi.
 
Shule tulifundishwa pia kuthibitisha jambo tunaloongea kwa kutoa uthibitisho usiokuwa na mashaka kisheria nk Hebu weka uthibitisho ambao hata ukiburuzwa mahakamani waweza utumia kushinda kesi.

Ni ya viwandaaaaaa. Fisiem mmepoteana kweli kweli hata mkisoma nyuzi hamuelewi yaliyoandikwa. Mahakama ndiyo nini nchi hii????

Ni sirikali, sirikali, sirikali ushaambiwa
 
Back
Top Bottom