Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Ama kweli tukifanikiwa kuwa na akina sitta 50, akina slaa 10, akina magufuli 70, akina mwakyembe 80, na vyama makini km chadema viwili tu....taifa litakuwa limekombolewa...................lakini kinyume chake, tukiwa na akina rostamu 5, lowasa 10, ,kikwetw 3,na vyama visivyomakini kama cuf na ccm 4 basi hatuna nchi tena tutakuwa km tulivyo sasa milele
naomba tubadilike kwa kuchagua viongozi makini na vyama makini. Naleta hoja
naomba tubadilike kwa kuchagua viongozi makini na vyama makini. Naleta hoja