buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
Habari wana JF.
Tunashukuru kwa pamoja kwa Mungu wetu anayeendelea kutulinda na kutuwezesha kuwa hai, ktk mazingira hayahaya magumu chini ya uongozi wa MAGAMBA.
Je?, ni waziri gani ktk serikali ya magamba aliyekuchefua zaidi kiutendaji wa majukumu yake ktk kipindi hiki cha takribani mwezi mmoja ndani ya mwanzo wa mwaka mpya wa 2012?, na ni kwa nini?.
Naanza na, Wasira. huyu ananikera kwa kuendelea kuwa bendera inayofata upepo ndani ya serikali ya MAGAMBA.
Endelea.....
Tunashukuru kwa pamoja kwa Mungu wetu anayeendelea kutulinda na kutuwezesha kuwa hai, ktk mazingira hayahaya magumu chini ya uongozi wa MAGAMBA.
Je?, ni waziri gani ktk serikali ya magamba aliyekuchefua zaidi kiutendaji wa majukumu yake ktk kipindi hiki cha takribani mwezi mmoja ndani ya mwanzo wa mwaka mpya wa 2012?, na ni kwa nini?.
Naanza na, Wasira. huyu ananikera kwa kuendelea kuwa bendera inayofata upepo ndani ya serikali ya MAGAMBA.
Endelea.....