McEM Member May 7, 2011 64 3 May 22, 2011 #1 Kuna mikoa barabara,zahanati na mashule hazifai. Kwa nini hawaigi mfano huu wa m/arusha na ikiwa vyanzo vya mapato vipo.
Kuna mikoa barabara,zahanati na mashule hazifai. Kwa nini hawaigi mfano huu wa m/arusha na ikiwa vyanzo vya mapato vipo.
Maarko JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,189 602 May 22, 2011 #2 (Kuna mikoa barabara,zahanati na mashule hazifai. Kwa nini hawaigi mfano huu wa m/arusha na ikiwa vyanzo vya mapato vipo.) Sijakuelewa!, Una maanisha nini?!
(Kuna mikoa barabara,zahanati na mashule hazifai. Kwa nini hawaigi mfano huu wa m/arusha na ikiwa vyanzo vya mapato vipo.) Sijakuelewa!, Una maanisha nini?!
McEM Member May 7, 2011 64 3 May 22, 2011 Thread starter #3 Hata manispa za mikoa mingine nazo zinaweza kukusanya ushuru kama m/arusha na kukarabati miundo mbinu katika maeneo yao.
Hata manispa za mikoa mingine nazo zinaweza kukusanya ushuru kama m/arusha na kukarabati miundo mbinu katika maeneo yao.
mashikolomageni JF-Expert Member Jan 5, 2010 1,570 187 May 22, 2011 #4 Hatujui huko samunge wanafanya nini na mkoa huo wa arusha umefanyanini ili na wengine waige . toa taarifa sahihi
Hatujui huko samunge wanafanya nini na mkoa huo wa arusha umefanyanini ili na wengine waige . toa taarifa sahihi