Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,134
Wakati watanzania tukiwa na hamu ya kusubiri kuona wana brazil wakija tanzania kucheza na taifa stars...mama mmoja amejifungua njian jana mjini mwanza baada ya kukosa huduma hospital ya karume ...akioongea kwa uchungu waliomwona jana tbc mama huyo anasema alikwenda hospital alipofika manesiwakamwambia anashida gani akasema anasikia uchungu....wakamwambia atuna vifaa vya kukusaidia kujifungua so nenda ilemela,..mama yule akawa anaumia tumbo akawambia aiwezekani sijiwezi..ndiopo wakina mama wawili wakamwambia utafia hapa awa wanataka pesa..huku wagonjwa wakilalama mkuu wao akawambia manesi msaidieni tu jamani...mama moja akachukua jukumu la tax alipofika karibu na hospit akashuka mama yule akaanguka chini wale wamama wakamsitiri gafa toto la kilo 4.2 likiwa na tabasamu na kicheko na nanii yake ikismama kuonyesha nimerudi jamani hata kama mlitaka kuniua sasa kazi kwenu kwa watoto wenu mnaoenda kuwazaa..mtoto ana smile kama miss usa..jamani nyie manesi mbona wauwajo hivyo loh!!!...hizo hospital si mfunge jakaya kama mnafungua hospital wanashindwa kuwasaidia watanznia na mnatoa bilion 3 kuwaleta brasil jamani hii si laana ya sehemu za siri????sijui