las Casas
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 575
- 711
25072017Hiv bukoba kuna mkurugenzi wa manispaa kweli? Vip viongozi wa mkoa? Na je mbunge? Waziri wa tamisemi yupo kweli. Tazama stendi ya bilele huko bukoba.
Sasa hapa utakanyaga wap. Na wamearibu kabisa walipomwaga ufongo plus mvua za bukobaView attachment 1780184View attachment 1780185View attachment 1780186