Nikiwa Mbuguni,nimeshuhudia zogo baina ya mawakala kuhusu Mtu aliye ongozana na mwenzake kumsaidia kupiga kura ati hajui kuandika.
Wakala wa CDM kuonyesha yuko makini,akakagua kitambulisho chake na kugundua kimesainiwa,akamuuliza umeongozana nahuyu mtu akusaidie kupiga kura mbona ulisaini hapa nyuma siku ya kupewa kitambulisho?
Baadae ikaja kujulikana kuwa jamaa aliye ongozana nae alikuwa kesha mpa pesa huyo jamaa aipigie CCM sasa akawa anamlinda na kudanganya hivyo ili ahakikishe kura kwa CCM.
Polisi aliingilia kati na kuamuru huyo jamaa akapige kura mwenyewe.
CCM Noma.
Wakala wa CDM kuonyesha yuko makini,akakagua kitambulisho chake na kugundua kimesainiwa,akamuuliza umeongozana nahuyu mtu akusaidie kupiga kura mbona ulisaini hapa nyuma siku ya kupewa kitambulisho?
Baadae ikaja kujulikana kuwa jamaa aliye ongozana nae alikuwa kesha mpa pesa huyo jamaa aipigie CCM sasa akawa anamlinda na kudanganya hivyo ili ahakikishe kura kwa CCM.
Polisi aliingilia kati na kuamuru huyo jamaa akapige kura mwenyewe.
CCM Noma.