miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,968
- Thread starter
- #21
hawana majibu halafu utakuta kuna mchepuko huko anabembelezwa dadeki wanaume hawa sijui wakishatuita wake wanafikiria tumekufa ganzi sijuihahahahahaha, ufike mahali tuvunje ukimya, unampa za uso kuwa vipi mbona hauko kama zamani tulivyokuwa tunaanza, sijui atajibu nini, hahahah